Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Anatakiwa kufanya kazi na bunge, bunge lìlikataa kufanya nae kazi sababu ya misbehaviors..
MISBEHAVIOURS ipo ktk kifungu cha CAG removal from office..
If that is the Case then removal is not automatic. Mteuzi wa CAG anatakiwa/analazimishwa na Katiba kupitia Ibara ya 144 ibara ndogo ya 4, kuunda tume kutokana na hizo misbehaviour alizozionesha ili aweze kuchukua maamuzi.

Kumbuka kuwa Katiba ipo juu ya Sheria zote na watu wote.
 
Kama CAG anatakiwa kuwa CAG kwa miaka kumi, kwa nini mkataba wake ni wa miaka mitano?

Hapa ndio kuna Point mkuu. pai hiyo shall ambayo ni shuruti, mkazo wake upo wapi hapa kwenye haya maeneoneo mawili niliyotia wino mwekundu hapo chini

The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only.
 
If that is the Case then removal is not automatic. Mteuzi wa CAG anatakiwa/analazimishwa na Katiba kupitia Ibara ya 144 ibara ndogo ya 4, kuunda tume kutokana na hizo misbehaviour alizozionesha ili aweze kuchukua maamuzi.

Kumbuka kuwa Katiba ipo juu ya Sheria zote na watu wote.
Hiyo special tribunal ni lazima itangazwe kwa public? Ni lazima nìmwambie mtuhumiwa nakuchunguza ili ajipange?
Katiba haijasema hayo. Imesema special tribunal tu.
 
If that is the Case then removal is not automatic. Mteuzi wa CAG anatakiwa/analazimishwa na Katiba kupitia Ibara ya 144 ibara ndogo ya 4, kuunda tume kutokana na hizo misbehaviour alizozionesha ili aweze kuchukua maamuzi.

Kumbuka kuwa Katiba ipo juu ya Sheria zote na watu wote.
Uteuzi huu endapo ungekuwa sahihi mtu sahihi au pengine mtu msaidizi wa Assad kule kule ndani anayeijua hiyo kazi vizuri kusingekuwa na maneno wala uchambuzi wa vifungu vya katiba na sheria, kilichosababisha yote haya ni Uteuzi batili uteuzi usio na weledi wala Tija kwa Taifa na uteuzi wa kulinda mabaya waliyofanya, aina hizi za Teuzi haziwezi kunyamaziwa lazima magufuli ajifunze kitu kupitia uteuzi huu wa sasa.
 
Hapa ndio kuna Point mkuu. pai hiyo shall ambayo ni shuruti, mkazo wake upo wapi hapa kwenye haya maeneoneo mawili niliyotia wino mwekundu hapo chini

The Controller and Auditor-General shall hold office for the fixed term of five years and shall be eligible for renewal for one term only.
Kuna vipengele vipya vinajadiliwa vinasema kumuondoa baada ya miaka mitano kufuate process kama ya impeachment.

Inaonekana Magufuli hajaifuata process hiyo, na hapo ndipo anaweza kuwa kavunja katiba.

Profesa Shivji katweet kuhusu hii process.

Maandiko yangu ya awali hayakuwa informed kuhusu hiki kipengele.

Thanks @MissileofTheNation
 
Hiyo special tribunal ni lazima itangazwe kwa public? Ni lazima nìmwambie mtuhumiwa nakuchunguza ili ajipange?
Katiba haijasema hayo. Imesema special tribunal tu.
Uteuzi wa CAG ni uteuzi wa kulinda ufisadi wao
 
Hivi tukiacha mzozo wa shall, may na eligibility, uteuzi wa Kichere na Utenguzi wa Assad umefanyika kwa faida ya walio wengi au kwa faida ya rais?
Katiba imempa rais hayo madaraka ya luchagua, hivyo haijalishi.
 
Hiyo special tribunal ni lazima itangazwe kwa public? Ni lazima nìmwambie mtuhumiwa nakuchunguza ili ajipange?
Katiba haijasema hayo. Imesema special tribunal tu.
Haiwezi kuwa tribunal ya siri, kumbuka kuwa Katiba inalazimisha haki ya kusikilizwa hivyo tungeweza kutokujua sisi lakini lazima mhusika afahamu kuhusu iyo tume na lazima imuhoji.
 
Kiranga,

Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili fanya, wewe ni mtumishi kama wengine. Pale ofisi za CAG ni pachafu sana kapasafishe. Una elimu nzuri una div one O level na high level wewe sio kilaza ni kipanga

Una nidhamu sana nilivyokushusha ulikubali kwa moyo mweupe. Nakuonya unaweza ukaa hata mwaka mmoja na sio lazima ukae hadi 60 yrs. Nina mamlaka ya kuteua na kutengue mimi ndiye Rais.

Asadi leo SAA Sita usiku anamaliza muda wake kesho nenda ofisini

Kaisafishe ile ofisi ,Wizara ya Fedha itakupa taarifa zingine.
 
May be to give a CAG a chance to quitt out of his good will if he so wishes.

But again, unlike the "eligibility" thing which I absolutely agree with you, but this new subsection is absolutely a game changer on how we viewed this thing earlier

View attachment 1253605
This is new information that puts the whole saga in new light.

Magufuli anavyoteua na kutengua huwa hakai na Attorney General kuangalia vifungu hivi?

Anajali vifungu hivi at all?
 
Na CAG atatumbuliwa "...Unless the question of removal becomes the subject of investigation in terms of Article 144(3) of the Constitution."

Hiyo Ibara ya 144(3) ya Katiba yetu inasemaje? Jibu ni hili:-If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows:Kama tulivyoona hapo juu, CAG atalazimika kuachia ofisi endapo atakuwa amefikisha miaka 65, kinyume chake anaweza KUTUMBULIWA kabla ya huo umri ikiwa ametenda jambo linalohitaji investigation.

Hivyo basi, ni ama Rais atengue uamuzi wake wa awali wa kuteua CAG mwingine, au tuone akiunda Tume ya Kijaji ya Kumchunguza CAG kwa kosa analojua yeye na timu yake!!

144.- (1) Bila ya kuathiri masharti mengine yaliyomo katika ibara hii, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Jamhuri ya Muungano atalazimika kuacha kazi yake atakapotimiza umri wa miaka sitini au umri mwingine wowote utakaotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge.

(2) Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu aweza tu kuondolewa katika madaraka ya kazi yake kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake (ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote) au kwa sababu ya tabia mbaya, au kwa kuvunja masharti ya sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (4) ya ibara hii.

(3) Iwapo Rais anaona kwamba suala la kumwondoa kazini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu kwa mujibu wa masharti ya ibara hii lahitaji kuchunguzwa, basi katika hali hiyo mambo yatakuwa ifuatavyo:
(a) Rais atateua Tume Maalum ambayo itakuwa na Mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili. Huyo Mwenyekiti na angalau nusu ya wajumbe wengine wa Tume hiyo itabidi wawe watu ambao ni Majaji au watu waliopata kuwa Majaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufani katika nchi yoyote iliyomo kwenye Jumuiya ya Madola;
(b) Tume hiyo itachunguza shauri lote halafu itatoa taarifa kwa Rais kuhusu maelezo ya shauri lote na itamshauri Rais kama huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu aondolewe kazini kwa mujibu wa masharti ya ibara hii kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya.
(4)Ikiwa Tume iliyoteuliwa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (3) itamshauri Rais kwamba huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu aondolewe kazini kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya, basi Rais atamwondoa kazini.
(5)Ikiwa suala la kumwondoa kazini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu limepelekwa kwenye Tume kwa ajili ya uchunguzi kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, Rais aweza kumsimamisha kazi huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu, na Rais aweza wakati wowote kufuta uamuzi huo wa kumsimamisha kazi, na kwa hali yoyote uamuzi huo utabatilika ikiwa Tume itamshauri Rais kwamba huyo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu asiondolewe kazini.
(6)Mtu ambaye ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu au aliyepata kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hawezi kuteuliwa kushika au kushikilia madaraka ya kazi nyingine yoyote katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
 
Kuna vipengele vipya vinajadiliwa vinasema kumuondoa baada ya miaka mitano kufuate process kama ya impeachment.

Inaonekana Magufuli hajaifuata process hiyo, na hapo ndipo anaweza kuwa kavunja katiba.

Profesa Shivji katweet kuhusu hii process.

Maandiko yangu ya awali hayakuwa informed kuhusu hiki kipengele.
Magufuli alianza kumchukia baada ya kuibua wizi wa Tr 1.5 na pia spika wizi wa bilion kibao kwa madai kuwa zimetumika india hospt , tokea hapo akaanza kubuni mbinu za kumtokomeza kabla hajaanza ukaguzi wa mahesabu ya wizara ya uchukuzi ambayo yangemkuta na maafa zaidi, sasa kamteua wa kulinda kila kitu lazima watanzania wapige kelele sana
 
Hapo article 40(1)ya katiba inaposema a president shall be eligible for re-election maana yake watanzania lazima raisi achaguliwe mara ya pili?View attachment 1253504
Mnachanganya mambo!!

Vifungu kadhaa vya Katiba huwa vinatungiwa independent law inayoweza kusema tofauti na kile kilichosemwa kwenye katiba provided Katiba imetoa huo uhuru!!

Suala la CAG, Katiba yetu Ibara ya 144 (1) inasema wazi kwamba:-
Controller and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.
Meaning, ingawaje Katiba inasema ni miaka 60 lakini pia imetoa uhuru kwa Bunge kutaja umri mwingine.

Huo umri mwingine umetajwa kwenye 2008 Public Audit Act Ibara ya 6(2)(a) inavyosema kwamba:-
Unless the question of removal becomes the subject of investigation in terms of Article 144(3) of the Constitution, the Controller and Auditor-General shall vacate office upon attaining the age of sixty five years;
Which means, ingawaje katiba ilitoa miaka 60, hiyo sheria inasema CAG ATALAZIMIKA kuachia kiti akifikisha miaka 65.

Na hataondoka kabla ya kufikisha miaka 65 "Unless the question of removal becomes the subject of investigation in terms of Article 144(3) of the Constitution"

Kama kuna jambo amefanya analotakiwa kuchunguzwa, ndipo anaweza kuondolewa kabla ya 65.

Taratibu za uchaguzi wa Rais na CAG ni TOFAUTI.





Ndo matatizo yenu hayo... huwa mnasoma kifungu kimoja kimoja!!

Hiyo Ibara ya 40 inaaanza kwa kusema
(1) Subject to the other provisions of this Article, any person who
holds office as President shall be eligible for re-election to that office.
Kwamba, shall be elegible subject to the other provisions of the same Act... yaani Ibara ya 40.

Lakini Ibara hiyo hiyo ya 40, kifungu kidogo cha 4 kinasema
(4) Where the Vice-President holds the office of President in accordance with the provisions of Article 37(5) for less than three years, he shall be eligible to contest for the office of President for two terms, but where he occupies the office of President for three years or more, he shall be eligible to contest for the office of President for one term only.



(5) Where the office of President becomes vacant by reason of death resignation, loss of electoral qualifications or inability to perform his functions due to physical infirmity, or failure to discharge the duties and functions of the office of President, then the Vice-President shall be sworn in and become the President for the unexpired period of the term of five years and in accordance with the conditions set out in Article 40, and, after consultation with the political party to which he belongs, the President shall propose the name of the person who shall be Vice-President and such appointment shall be confirmed by the National Assembly by votes of not less than fifty percentum of all the Members of Parliament.
Wanasheria wetu bhana, nazidi kuwa na mashaka nanyi.
....vipi mkuu neno SHALL kwenye katiba kuhusu kumchagua rais huyo huyo kwa mara ya pili....the president holding the office SHALL BE ELIGIBLE FOR RE-LECTION... ..

View attachment 1253528

Je, TUNASHURUTIWA KUMCHAGUA RAIS KWA MARA YA PILI? RAIS HAWEZI KAA MADARAKANI TERMS 1?
Ebu tutafsirie na hiyo hapo juu IBARA YA 40..nayo ni SHALL BE ELIGIBLE! Je rais muda wake ni miaka 5 au 10 kabla ya uchaguzi?

Au unataka kutuambia neno SHALL kisheria kwa RAIS na CAG lina tafsiri tofauti?
Hiyo SHALL ya kwenye Urais mnayoi-force, haingii kwa muktadha huu kwa sababu Sheria za Mtu kuchaguliwa kuwa Rais au kuondolewa kwenye nafasi yake ni tofauti na sheria zinazomhusu CAG!

Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma ya mwaka 2008 6(2)(a) imesema wazi kwamba:-
Unless the question of removal becomes the subject of investigation in terms of Article 144(3) of the Constitution, the Controller and Auditor-General shall vacate office upon attaining the age of sixty five years;
Kwamba, CAG ataondoka ofisini atakapofikisha miaka 65 unless kama kuna jambo amefanya linalohitaji Uchunguzi wa Kijaji!

Aidha, neno SHALL limetafsiriwa kwenye Interpretation of Laws Act Ibara ya 53(2) kwamba:-
(2) Where in a written law the word "shall" is used in conferring a function, such word shall be interpreted to mean that the function so conferred must be performed.
 
Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili Fanya

Wewe ni mtumishi kama wengine

Pale ofisi za CAG ni pachafu sana ,kapasafishe

Una elimu nzuri una div one o level na high level wewe sio kilaza ni kipanga

Una nidhamu sana nilivyokushusha ulikubali kwa moyo mweupe

Nakuonya unaweza ukaa hata mwaka mmoja na sio lazima ukae hadi 60 yrs

Nina mamlaka ya kuteua na kutengue mm ndie rais

Asadi leo SAA Sita usiku anamaliza muda wake kesho nenda ofisini

Kaisafishe ile ofisi ,wizara ya fedha itakupa taarifa zingine
Basi kama haya maneno yamesemwa kun mkono wa TISS umemtoa assad. Ingawa naamini haya ni maneno yako tu.
 
Kuliko kukosea kuteua mtu ambaye wananchi wanajua ni mzee wa ndiyo mzee
 
Kwa hiyo angempa miaka mingapi tena maana inatakiwa miaka 5, angekuwa 63.
Nani kasema amuongezee? Nimeuliza kwa nini asingemuacha mpaka akatimiza umri wa miaka 60 akafanya uteuzi mwingine? CAG ndio kwanza ana miaka 58
 
Basi kama haya maneno yamesemwa kun mkono wa TISS umemtoa assad. Ingawa naamini haya ni maneno yako tu.

 
Back
Top Bottom