Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Unadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
Farao aliyakataa maagizo yote ya Mungu yaliyoletwa na Musa. Wala Musa wala wana wa Israel hawakunyanyua mapanga au fimbo zao kumpiga au kumwua Farao na watu wake waliokataa maagizo ya Mungu. Bali Mungu mwenyewe aliwaadhibu Farao na familia zote za waarabu kwa kumua kila mzaliwa wa kwanza wa familia za Wamisri.


Kuna tatizo kubwa kwenye mafundisho ya uislam. Inatia shaka juu ya chanzo cha uislam!!!
 
Eti makafiri!Waislam mnavituko sana!
 
Kuchoma kitabu ulichokinunua mwenyewe inaingiliaje imani ya mtu mwingine??
 
Kingine ujue kitu sio lazima unipende wewe kama unaniona hovyoo sio kila mtu kwa sasa nampenda mmoja tu na anajua hana haja yakuitwa itwa yeye ni mzee kalala saizi
Dah! Pole sana babe kwa kushindwa kukulinda. Wakati mwingine nitajitahidi kukaa macho ili nipambane na yeyote yule anaye kubughudhi humu jukwaani. 😩
 
Hata sikuuona eti. Unahusu nini? Na kwa nini Mods waliufuta? Bila shaka ulikiuka maudhui yao.
Hata mimi nilishangaa wao kuufuta wakati haukua na shida yoyote! Mkeo alikua anauliza kwanini wanawake humu wanakupenda sana na yeye anakuzimikia anataka umuoe haraka😜 (nimeongeza na chumvi)
 
Quran haijawai kumletea mtu madhara ila binadamu ndio wanamletea mtu madhara kwa kumpigania Allah.

Mbagala ilikojolewa ila Allah hakufanya chochote. Ila binadamu wa kiislamu ndio wakaenda kuchoma makanisa
Huyo Bwege wenu alipididiwa atanifanya nini?
 
Huyo jamaa ni mwendawazimu unailindaje jamii kwa kuchoma kitabu kitukufu. Kavuna alichokipanda Wala simuonei huruma mimi
 
R.I.E.P Salwan.

GOD BLESS DONALD TRUMP
GOD BLESS BENJAMIN NETANYAHU

God bless USA
God bless Israel
God bless Tanganyika
 
Kama Sweden walikuwa wanampeleka mahakamani kwa kosa la kuchoma basi alikuwa ana Haki ya kuhukumiwa sema tu wamemuwahi na hukumu ya Risasi badala ya kuachia mahakama iamue hukumu
 
Kama Sweden walikuwa wanampeleka mahakamani kwa kosa la kuchoma basi alikuwa ana Haki ya kuhukumiwa sema tu wamemuwahi na hukumu ya Risasi badala ya kuachia mahakama iamue hukumu
Ndiyo maana nasema tuemdelee kuchoma na kukojolea kitabu hiki cha KISHETANI hadi akili ziwakae sawa Waislamu.

Yale wanaita Quran ni rundo la makaratasi tu yamewekwa pamoja

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…