Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

nacheka bro coz vitu vinafurahisha kuna siku nimeliwa ada nikauza iphone.yangu.nicheze.spin. pia.nikaliwa nadaiwa mpaka leo

Teh..teh...teh...siku nikifanikiwa kutoka kwenye huu uraibu basi nitaenda kumtolea MUNGU shukrani ya pekee kanisani.

Afadhali wewe unaliwa unatulia, mimi nikiliwa dau kubwa nakuwa frustratated najifungia geto nacheki porno na kupiga punyeto hata masaa 10 mpaka nisahau pesa niliyoliwa.
 
niko pia nishajaribu kuacha ishashindikana kamari imekua sehemu ya maisha....punyeto pia

Mkuu kauli ya kusema "imekuwa sehemu ya maisha yangu" nishaisema sana kuashiria kuwa nimekubaliana na matokeo nitaishi ivo.
Lakini pamoja na kuwa nipo kwenye uraibu huu kuna mda akili inazinduka na kujielewa kabisa kuwa nafanya mambo ya ajabu na najizatiti kabisa kuwa naacha sitaki tena,lakini najikuta tu nimo.
Mara kumi hata ningekuwa napga punyeto bila kubeti maana pesa niliyopoteza kwenye betting ningesha jenga nyumba sahivi.
 
Pole Sana boss Lakin nawaza labda unaapply apa Hyo Tabia ya tatu😁😁
 
Njoo pm tuyajenge
 
не сдавайся....борись с этим

не позволяй этому загрязнять тебя

Wewe ni Vladmir ( of great power)
 
Tunafanya yote lakini sio kwa kiwango chako
1) Kubet ..nimebeti tangu 2011 mwanzoni na nimejenga Nyumba na nimeoa
2) Punyeto ..hakuna mwannaume hajafanya hilo Ila bao mpaka 12 we komesha tunapigaga vya hamu kimoja kiwili tena sio mara kwa mara unahotaji Tina
3) Uongo huo ni wazi ni ujinga wako kanuni za kubeti moja wapo inasema "bet what u can afford to loose " .. Bet kile ambacho ukipoteza hauna hasara wala sononeko
4) Kumcha Mungu ... Ni we we na Mungu wako siwezi ongelea hilo
 
Shetani tokaaaaaa kwa huyu mtu!
 
Nafikiri wewe kanuni ya "kunywa kidogo ila usilewe" umeweza kuitendea haki.
Mimi nilichokosea ni nimekunywa nyingi alafu nikalewa na kulevuka imekuwa mtihani kwangu, nadhani umenielewa ni wapi nimekosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…