Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?



Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
nyege hizo zinakusumbua
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]
Ishini nao kwa akili
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]
Hapo kwenye kumchapa kwelikweli utaishia kunyea ndoaa kwa siku kadhaa mkuu, mengine ni kupuuza tu.
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]
Hapo kwenye kumchapa kwelikweli utaishia kunyea ndoaa kwa siku kadhaa mkuu, mengine ni kupuuza tu.
 
Kwahio anakuchangamsha kwa kero?
Mkuu, kuna wale wanawake wacheshi wanapenda tu utani wa kukukera, mpaka sometimes unakasirika, nimetoa mfano anaweza kuwa anaenda kanisani jumapili, akakufunua shuka akalitupa pembeni halafu akakimbia hapo lazima utakasirika sana. Lakini baadaye akirudi hasira zimeshaisha mnaanza kucheka tu, na kupiga mtanange. Au anaweza kukutania mpaka ukakasirika, lakini baadaye unajikuta unacheka tu.
Cha msingi ni kutokuchukulia vitu serious sana, kama wewe ukamzibua mtoto wa watu... Hahaha.
Pia inawezekana unachanganya na wale wanawake wenye gubu... hao ni big no kwangu.
 
ya kwake ni vise versa, huwa upande mmoja unachukia while mwingine unafurahia

sijapenda mimi namuombea Mungu ambadilishe
Hata mimi nilikuwa nakasirika, kuna wanawake wapenda utani sana tu. Sometimes anakuchokoza unakasirika kabisa halafu yeye anacheka. Na wanawake wa hivi naona wako poa sana, kuliko wale hata akichukia hujui, hawa wa hivi mara nyingi wanakuwa hawana makuu.
 
Back
Top Bottom