DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

kwa hiyo hujui kama kuna namna ya kukagua ametumia viwango gani vya ujenzi kulinganisha na michoro, iwapo ataibuka na michoro na vibali

kama hakuna jinsi ya kujua amejengaje basi majengo makubwa yanapaswa kukaguliwa hatua kwa hatua wakati wa ujenzi, mfano kukagua ususi wa vyuma kabla ya kumwaga zege

na pia bango liko wapi ? wahandisi wa manispaa nao wamezembea kutoliona jengo linajengwa mpaka ghorofa ya nne bila bango. Wajumbe na wenyeviti wa mitaa wana uwezo wa kushtukia na kuripoti Wasomali haramu kwenye maeneo yao within 3 days of arrival, lakini Mkurugenzi wa Halmashauri haoni jengo la floor nne lisilo na bango ! Vicarious negligence ya serikali inahusika.
 
Hakuna Cha unafiki,mbona mnalalamikia Ufisadi then fisadi unamtetea tena ,Huwa mnalalamikia nini Sasa?
Unajua kuna kitu kinaitwa 'uhuru wa mawazo/fikra'.
Usiforce kila mtu awe na mtazamo sawa na wako.

Ungepata wewe fursa usingejenga? Acha kuhubiri pepo ikiwa mwenyewe huna hakika ya matendo yako.
 
unaweza kukuta hii post ni ya fundi mwenyewe. anyway Boni kazingua. Komesha rushwa
 
Moderator futeni huu uzi
1. Hakuna udhibitisho kama jengo liko chini ya kiwango
2. Hakuna udhibitisho kama mmiliki halali ni yeye.

Jamiifroum isiwe chaka la kuaribiana CV za watu yaani hii kama ni chuki na mtu ni sawa na kuchukua picha yake na jengo linalosemekana lake than nichonganishe hii sio haki kabisa, heshimuni maisha ya watu na kazi zawatu. kama mtu unauhakika na hili kwann usipeleke sehemu husika wadeal nae. Ukipaste hilo jina kwenye Google utaiona hiyo picha iko linkedin sio sawa imechukuliwa ikapastiwa hapa.
 
Wizi wizi wizi
Ndio maana kila mtu anataka kazi Tra sasa

Sasa kila mtanzania atataka akafanye kazi Tra,wanaweka pesa mpk kwenye makabati ya nguo nyumbani

Wengi wao watumishi wa Tra wanachezea sana pesa na wanawake
 
Unajua kuna kitu kinaitwa 'uhuru wa mawazo/fikra'.
Usiforce kila mtu awe na mtazamo sawa na wako.

Ungepata wewe fursa usingejenga? Acha kuhubiri pepo ikiwa mwenyewe huna hakika ya matendo yako.
Binadamu huwa tuna unafiki wa kuona jambo ovu ikiwa analifanya mwingine tukifanya wenyewe tunatafuta kila jina zuri kuhalalisha uovu yetu.

Hapa mijitu imeshupaza shingo kusema jamaa ni mla rushwa ila wangepata wao nafasi hizo hizo wangeita fursa na kufanya yao.
 
Ukute mmoja wa hao moderators ndio kaandika huu uzi baada ya kuona wivu jirani yake kujenga gorofa halafu unatarajia uzi ufutwe.

Huu uzi ingekuwa nchi za ulaya ni rahisi sana mtu kufungua kesi ya defamation na kupata pesa nyingi.

Alioandika uzi hana ithibati yeyote aliyoweka juu ya madai yake zaidi ya picha ya jengo na picha ya huyo aliemtaja.
 
Hawa washenzi ndio wanabambikia watu kodi za bilioni 30 kwenye kontena za vitenge mbwa hawa.., aeleze pesa katoa wapi mbwa huyo!
Hawa washenzi watumishi wa Tra ukiwakuta wanavojidai wana pesa,siku hizi hela wakichukua hawapeleki benki wanaweka nyumbani kwenye makabati ya nguo.


Hizo ni rushwa wanazochukua kwa wafanyabiashara kila siku

kwa hali hii watz lazima wakwepe kulipa kodi.
 
Unajua kuna kitu kinaitwa 'uhuru wa mawazo/fikra'.
Usiforce kila mtu awe na mtazamo sawa na wako.

Ungepata wewe fursa usingejenga? Acha kuhubiri pepo ikiwa mwenyewe huna hakika ya matendo yako.
Kelele mnazopigaga kuhusu Ufisadi Huwa mnamaanisha nini ikiwa Mafisadi mnawaona ni wajanja na mashujaa?
 
Wivu tu unakusumbua.
Ukiona ghorofa imesimama hadi hapo jua ana kibali tayari vinginevyo ungeshakuta Alama nyekundu.
Sio wivu hawa jamaa wanakula rushwa haswa,hukuona wafanyabiashara walivokua wanalia juzi

Kodi nyingi haziingii serikalini zinaliwa na watumishi wa Tra
 
Udaktari unakimbiliwa na vilaza mbona wengi tu,
Kuna watu kibao wamesoma PCB wakapiga division one Chuo wakaenda Kusoma B.Com, Tax Nk na ndio hao Wengi wao wako TRA
Kilaza utakatiza wapi kwenye medicine, labda hivyo vyuo mlivyoanzisha huko vichochoroni
 
Kelele mnazopigaga kuhusu Ufisadi Huwa mnamaanisha nini ikiwa Mafisadi mnawaona ni wajanja na mashujaa?
Watumishi wa Tra wanakula kodi zetu alafu wanatuona wengine wajinga

Kuna mmoja alikua anatambia watu kua atoke Tra aende kufanya kazi wapi.


Hawa wanachofanya ni wizi na kukadiria watu makodi ya ajabu ajabu ili mfanyabiashara ashindwe wamuite pembeni

Serikali iwaangalie hawa kwa makini sana,kodi za serikali nyingi mno zinaliwa na watumishi wa Tra
 
Wengi hapa watasema wivu na shutuma kibao

Ila ukweli wa mambo hatuwezi kupiga hatua kama nchi kwa hali hii ya wizi uliokithiri ndugu zangu, Kama jamaa na biashara zake hakuna anaemuonea wivu ila kama ndio Posho na mshahara wa TRA tusidanganyane.

nchi za wenzetu wana maisha sawa kawakua hakuna pesa ya ujanja ujanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…