Taifa la washangilia Misiba na Visasi

wewe mpumbavu sana sukuma gang ni taifa au kabila kubwa tanzania wasukuma wapo mikoa 5 wapo zaidi ya million20 wewe mchaga una kamkoa kamoja kabila halizidi watu laki 3 unajilinganisha na wenye nchi wapo mikoa yote

Huyo Mpemba huyo
 
Membe yupo mikononi mwa Magufuli sasa hivi. Mungu awapunzie adhab za kabri hawa watu
 
MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU IBARIKI TANZANIA [emoji120][emoji120][emoji120]
 
wewe mpumbavu sana sukuma gang ni taifa au kabila kubwa tanzania wasukuma wapo mikoa 5 wapo zaidi ya million20 wewe mchaga una kamkoa kamoja kabila halizidi watu laki 3 unajilinganisha na wenye nchi wapo mikoa yote
Wacha upumbavu wewe mhutu, sukuma gang ni kakikundi kadogo ka wafuasi wa Magufuli,mimi ni Msukuma lakini sikuwahi kuvutiwa na siasa za kiwenda wazimu za JPM.
 
Ngoja tu..
Subiri tuone..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…