johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeshapanic!Kwani wapi pameandikwa kuwa uteuzi ni ndoa ya kikristo haivunjiki? Sheria gani inamuondolea mtu haki ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa mara baada ya kuteuliwa? Ajabu hasa ni nini na ni nani aliwahi kudumu milele kwenye ukuu wa mkoa au wilaya kwa sababu hakugombea? Acheni ushamba.
Bintimfalme?!!!Kwa wengine wote kasoro bintimfaume princess bashite
Dogo nimeona kabugi sana!kapewa lift anapiga na honi.Kwanini isiwe Patrobas Katambi!
Tatizo unazungumzia awamu ambayo miiko na kanuni sio mambo ya muhimu, na mashabiki wake hawana tatizo hata kanuni na miko hiyo ikivunjwa!Kwa wale wasiojua ni kwamba viapo vya utumishi wa umma vina kanuni na taratibu zake tena vina miiko yake.
Je, wateule wa Rais wakiwemo wakuu wa mikoa na wale wa wilaya walizingatia kanuni na miiko ya viapo vyao wakati wanaenda kuchukua fomu?
Je walijiuzulu uongozi na kuacha kazi?
Je, walifikiria hasara na usumbufu watakaouleta serikalini kwa kuondoka ghafla ofisini?
Je, Rais na amiri jeshi mkuu amewatuma kwenda kutumikia muhimili mwingine?.......Hili Rais Magufuli ameshalijibu kwamba hajamtuma mteule yoyote kugombea ubunge.
Basi, kiufupi kamati kuu ya CCM haitakuwa na kazi ngumu wakati wa kushughulika na majina ya hawa jamaa.
Maendeleo hayana vyama!
Ngoja tuone...... Tusikariri!Tatizo unazungumzia awamu ambayo miiko na kanuni sio mambo ya muhimu, na mashabiki wake hawana tatizo hata kanuni na miko hiyo ikivunjwa!
Atakutana na naibu Rais wa bunge la Afrika!Dogo nimeona kabugi sana!kapewa lift anapiga na honi.
yess kwa kiha twasema daughter of KingBintimfalme?!!!
Kwani vyeti vimepatikana?Vyeti vinamtambuaje?!
Hao ni dugu moja, wanajuana.Pamoja na kwamba Rais Magufuli amekuwa akiwaasa wale aliowaamini na kuwapa nafasi mbalimbali za uteuzi waridhike na nafasi hizo na waache tamaa, lakini wengi wao wameonyesha kudharau maoni ama ushauri huo na wameamua kuachana na nafasi hizo na kwenda kugombania ubunge.
Je wateule Hawa Ni ama wanajiamini Sana watashinda au wanaamini kwa kazi walizozifanya pindi walipoteuliwa Basi wameshamridhisha Rais hivyo Basi hata wasipopata ubunge, Rais Hana ujanja Bali atawarudisha?
Hao wanakimbia stress mue bungeni watapata muda Wa ku relax hata kusinzia kidogoPamoja na kwamba Rais Magufuli amekuwa akiwaasa wale aliowaamini na kuwapa nafasi mbalimbali za uteuzi waridhike na nafasi hizo na waache tamaa, lakini wengi wao wameonyesha kudharau maoni ama ushauri huo na wameamua kuachana na nafasi hizo na kwenda kugombania ubunge.
Je wateule Hawa Ni ama wanajiamini Sana watashinda au wanaamini kwa kazi walizozifanya pindi walipoteuliwa Basi wameshamridhisha Rais hivyo Basi hata wasipopata ubunge, Rais Hana ujanja Bali atawarudisha?
Ni kweli kabisa. Rais wa awamu hii ana kazi kubwa ya kufanyaMimi binafsi naanza kumwelewa aliposema Uraisi ni Kaz ngumu aombewe .Kweli Ni kazi ngumu hasa.Kutwa fikiria anawaza ateue Nani inachosha kwa kweli unateua Leo kesho my huyoooo yaani.Namhurumia Raisi wangu serious
Uzuri Mungu Yuko naye Sana tu anamtia nguvu kuyaweza yote.Ni kweli kabisa. Rais wa awamu hii ana kazi kubwa ya kufanya
Kama stress Raisi ndie angekuwa nazo sababu full time Yuko kazini 24 hours Kama amiri jeshi . Sababu majeshi huwa hayalali tulilala wao wako kazini na amiri jeshi wao mkuuHao wanakimbia stress mue bungeni watapata muda Wa ku relax hata kusinzia kidogo
Huyu kijana wa mwaka 1982 ni msumbufu sanaNasubiri kuona ile kauli "... msinichezee... hata wakubwa wenu wananijua!!" Kama ilikuwa ikimaanisha ujumbe ule
Watia nia waliokuwa wateule wa Raisi hawana wasiwasi ya wingi wa watia nia wapatao elfu 9,kwanini?Kwa wale wasiojua ni kwamba viapo vya utumishi wa umma vina kanuni na taratibu zake tena vina miiko yake.
Je, wateule wa Rais wakiwemo wakuu wa mikoa na wale wa wilaya walizingatia kanuni na miiko ya viapo vyao wakati wanaenda kuchukua fomu?
Je walijiuzulu uongozi na kuacha kazi?
Je, walifikiria hasara na usumbufu watakaouleta serikalini kwa kuondoka ghafla ofisini?
Je, Rais na amiri jeshi mkuu amewatuma kwenda kutumikia muhimili mwingine?.......Hili Rais Magufuli ameshalijibu kwamba hajamtuma mteule yoyote kugombea ubunge.
Basi, kiufupi kamati kuu ya CCM haitakuwa na kazi ngumu wakati wa kushughulika na majina ya hawa jamaa.
Maendeleo hayana vyama!
Sio hao tu wanaokimbia nafasi zao kutaka ubunge hata watu kwenye taaluma mbalimbali wanakimbia kutaka ubunge.kwaio hii inaonesha something is wrong lazima hii nafasi ya ubunge iangaliwe upya kwa maana ya sifa za mtu anaestahili kushika nafasi hii na swala Zima la maslahi ya nafasi hii yapitiwe upya .hatuwezi kuwa na nchi ambayo kila mtu ni mwanasiasaNdugu wana JamiiForums, kumetokea hali ya wakuu wa Mikoa na Wilaya kuacha nafasi zao walizoteuliwa na Mhe Rais John Pombe Magufuli na kukimbilia Ubunge.
Licha ya Rais John Pombe Magufuli kuwataka wateule wake kuridhika lakini tumeona wenyewe wateule wake wamepuuza agizo lake.
Sababu kubwa ninayoiona mimi ni tofauti ya mshahara wa wakuu wa Mikoa na Wilaya ukilinganisha na wabunge.
Ili kufanya wakuu wa Mikoa na Wilaya kuacha kukimbilia Ubunge nashauri waongezewe mishahara yao kwa kuwa kazi wanazozifanya ni kubwa kuliko hata za Mbunge.
Naomba maoni yako