Uchaguzi 2020 Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole

Uchaguzi 2020 Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole

Wakati wanahamia kwenye chama chetu walidai kuwa hawahami kwa ajili ya kutafuta vyeo Bali wameridhishwa na utawala wa awamu ya tano chini ya uongozi wako.

Sasa ombi langu kwa kwako Ni Moja tu, kwa wale wote watakaoshindwa kufanikiwa Katika mchakato wa uchaguzi unaoendelea, usiwateue katika nafasi yoyote ile kwa miaka yote mitano, ili kuwapa fursa ya kukitumikia chama chetu wakiwa Kama wanachama wa kawaida. Lengo Ni kutaka kupima imani Yao kwa Chama, Kama kweli hawakuhamia CCM Kama njia ya kutafuta vyeo.
Ni imani yangu kuwa ombi langu litakubariwa
Asante!
Wewe acha roho mbaya wenzako watakufa njaa!!
 
Wakati wanahamia kwenye chama chetu walidai kuwa hawahami kwa ajili ya kutafuta vyeo Bali wameridhishwa na utawala wa awamu ya tano chini ya uongozi wako.

Sasa ombi langu kwa kwako Ni Moja tu, kwa wale wote watakaoshindwa kufanikiwa Katika mchakato wa uchaguzi unaoendelea, usiwateue katika nafasi yoyote ile kwa miaka yote mitano, ili kuwapa fursa ya kukitumikia chama chetu wakiwa Kama wanachama wa kawaida. Lengo Ni kutaka kupima imani Yao kwa Chama, Kama kweli hawakuhamia CCM Kama njia ya kutafuta vyeo.
Ni imani yangu kuwa ombi langu litakubariwa
Asante!
Rais huyu hana kanuni inategemea tu ameamkaje siku hiyo.
 
Kichwa cha habari kinajieleza vizuri.

Hawa vijana wawili walikuwa wanaitumikia Chadema pale Ufipa na walipoukosa ubunge 2015 baadae wakatimkia CCM kusaka fursa.
Mungu si athumani wakapata teuzi nono tu.

Hawakutosheka wakarudi kule kule walikoangukia pua 2015 na kuchezea kichapo mbele ya miamba ile ile ya Maselle na Husna.

Ama kwa hakika kunguru hafugiki.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom