Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye kwenye ile sauti alibabikizwa pia? Hakuwa yeye?Huyu naye anaongea nini?. Sauti yake ilipovuja anamtukana Magufuli, Magufuli alisema laiti angeamua kuwashitaki katika chama kiwachukulie hatua wanageishaia pabaya. Leo anapata wapi audacity ya kumbambikizia Dr Slaa kesi nzito na mbaya namna hii?.
Anasema hakuna mtu atakamatwa kwa kupinga mkataba wa Bandari wakati mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametangazia umma kuwa ukipinga mkataba wa bandari unawekwa ndani na akasema kuna watu wameshawekwa ndani. Sasa anataka kumuongopea nani?
Kwanini hawakukamatwa wakati matamshi hayo yanatolewa kama ili kabla ya suala la bandari?
Mkuu Nape alimuiita JPM mshamba tu hakusema anataka kumpindua na aliendaa huku akitoka jasho kwenda kuuomba msamahaKwanini hawakukamatwa wakati matamshi hayo yanatolewa kama ili kabla ya suala la bandari?
Huyo mwanshi wa StarTv mlimtuma na ndiye amewagawia kipande hicho cha clip sasa hivi kutimiza malengo yenu?
Kwanini huyu waziri wakati yeye na wenzie ndani ya ccm walipotaka kumfanyia JPM (aliyekuwa rais wa wa awamu ya tano) vitendo vinashabihiana na uhaini hawakufunguliwa mashitaka ya makosa ya uhaini?
UUshahidi huu hapa: https://www.jamiiforums.com/data/video/2570/2570379-e531e3b2cf61c1250b26e6ee175acff7.mp4
Hili suala wamelivizia kimakosa (technically and wrongly calculated)
Kuita mshamba rais wako tena kwa njia ya simu halafu bado mnasema bado kuna mengine yatafanyika halafu wanafanya mikakati hiyo usiku na kwenda kwenye media kuchapicsha sio UHAINI?Mkuu Nape alimuiita JPM mshamba tu hakusema anataka kumpindua na aliendaa huku akitoka jasho kwenda kuuomba msamaha
Kama umekiri kwamba walimwita mshamba, je wananchi wakianza kumtuhumu kwamba alisababisha kifo chake atajinasuaje?Mkuu Nape alimuiita JPM mshamba tu hakusema anataka kumpindua na aliendaa huku akitoka jasho kwenda kuuomba msamaha
Nape ameshiba fesha za makampuni ya vodacom anafikiri kila mtanzania anaisho kama wanavyoishi waoHuyu naye anaongea nini?. Sauti yake ilipovuja anamtukana Magufuli, Magufuli alisema laiti angeamua kuwashitaki katika chama kiwachukulie hatua wanageishaia pabaya. Leo anapata wapi audacity ya kumbambikizia Dr Slaa kesi nzito na mbaya namna hii?.
Anasema hakuna mtu atakamatwa kwa kupinga mkataba wa Bandari wakati mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametangazia umma kuwa ukipinga mkataba wa bandari unawekwa ndani na akasema kuna watu wameshawekwa ndani. Sasa anataka kumuongopea nani?
Waende tu mahakamani kwa sababu chanzo cha kifo kinajulikana wakinda wadai fidiaKama umekiri kwamba walimwita mshamba, je wananchi wakianza kumtuhumu kwamba alisababisha kifo chake atajinasuaje?
Haya mambo mnajitakia bure chuekua hatua dhidi ya mharifu yeyote lakini ni sharti ujihakikishie kwamba wewe ni msafi kwanza
Kwa vile sasa hivi unatetea ujinga, basi vijana wa upande ule wanakuona shuja.Huyu naye anaongea nini?. Sauti yake ilipovuja anamtukana Magufuli, Magufuli alisema laiti angeamua kuwashitaki katika chama kiwachukulie hatua wanageishaia pabaya. Leo anapata wapi audacity ya kumbambikizia Dr Slaa kesi nzito na mbaya namna hii?.
Anasema hakuna mtu atakamatwa kwa kupinga mkataba wa Bandari wakati mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametangazia umma kuwa ukipinga mkataba wa bandari unawekwa ndani na akasema kuna watu wameshawekwa ndani. Sasa anataka kumuongopea nani?
we umeandika nini? shenzyHuyu naye anaongea nini?. Sauti yake ilipovuja anamtukana Magufuli, Magufuli alisema laiti angeamua kuwashitaki katika chama kiwachukulie hatua wanageishaia pabaya. Leo anapata wapi audacity ya kumbambikizia Dr Slaa kesi nzito na mbaya namna hii?.
Anasema hakuna mtu atakamatwa kwa kupinga mkataba wa Bandari wakati mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametangazia umma kuwa ukipinga mkataba wa bandari unawekwa ndani na akasema kuna watu wameshawekwa ndani. Sasa anataka kumuongopea nani?
Mwenye nchi ameambiwa tulia, sisi tutaongea
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.
Wanajisahau sana hawa wakiwa na vyeo.Huyu naye anaongea nini?. Sauti yake ilipovuja anamtukana Magufuli, Magufuli alisema laiti angeamua kuwashitaki katika chama kiwachukulie hatua wanageishaia pabaya. Leo anapata wapi audacity ya kumbambikizia Dr Slaa kesi nzito na mbaya namna hii?.
Anasema hakuna mtu atakamatwa kwa kupinga mkataba wa Bandari wakati mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametangazia umma kuwa ukipinga mkataba wa bandari unawekwa ndani na akasema kuna watu wameshawekwa ndani. Sasa anataka kumuongopea nani?