TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Ajira mnapeana kindugu na kujuana hadi mnakera msiwe mnatangaza muwe mnawaita ndugu na kuwasainisha mikataba regional manager kabisha anasema kapewa maelekezo kutoka rejea ajira za mkoa wa songwe
Taarifa za malalamiko dhidi ya ajira tuma kwa manager muandamizi rasilimali watu , box 9024 tanesco makao makuu, au fika na ushahidi
 
Tafadhali tunaomba ufafanuzi uku kwetu Neruka mtoni kijichi mtaa wa Masangula hakuna umeme toka jana mida ya saa 2:00 usiku hadi hivi sasa.Je hii ni itilafu au mgao? Maana ni muda wa zaidi ya masaa 19 sasa.
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA................................

2.SIMU...............................

3.MKOA.............................

4.WILAYA..........................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................

*Zingatia*

-Kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme

-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme

-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Aisee kumbe sikuizi muna kikosi kazi,chenye mamlaka ya kukamata watu?.tunaomba mtueleze kikosi hiki kinafanya kazi hizo kwa kutumia sheria ipi ya nchi?.
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA................................

2.SIMU...............................

3.MKOA.............................

4.WILAYA..........................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................

*Zingatia*

-Kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme

-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme

-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Taarifa za malalamiko dhidi ya ajira tuma kwa manager muandamizi rasilimali watu , box 9024 tanesco makao makuu, au fika na ushahidi

Baadhi ya sehemu za mikoa ya Kusini umeme kwa siku unakata na kurudi si chini ya Mara 20 tatizo ni nini, au huku sio Tanzania au Watanzania wa huku sio walipa kodi?

Imekuwa ni kero mno hadi inatia hasira watu wanashindwa kujua hivi huwa kuna kuwa na nini kinachofanya muwe mnakata umeme Mara kwa mara au huku ndio watu wanajifunzia kazi maana imekuwa mazoea na pia mkumbuke mnatia hasara watu vitu vinaungua kizembe sana kwa hii kata rudisha kata rudisha ya umeme.

Halafu kwanini hamuweki namba za simu za ofisi za mikoa ya Kusini?

Tanesco na umeme Kusini ni Kero zaidi ya kero.
 
Baadhi ya sehemu za mikoa ya Kusini umeme kwa siku unakata na kurudi si chini ya Mara 20 tatizo ni nini, au huku sio Tanzania au Watanzania wa huku sio walipa kodi?

Imekuwa ni kero mno hadi inatia hasira watu wanashindwa kujua hivi huwa kuna kuwa na nini kinachofanya muwe mnakata umeme Mara kwa mara au huku ndio watu wanajifunzia kazi maana imekuwa mazoea na pia mkumbuke mnatia hasara watu vitu vinaungua kizembe sana kwa hii kata rudisha kata rudisha ya umeme.

Halafu kwanini hamuweki namba za simu za ofisi za mikoa ya Kusini?

Tanesco na umeme Kusini ni Kero zaidi ya kero.
Tatizo la mkoa wa Lindi na Mtwara tulishalitolea ufafanuzi mpendwa mteja, kuna mashine ilikuwa na hitilafu mpendwa mteja wetu 0684692786 lindi, 0737165087 mtwara
 
Kwenye taratibu za kulipia ili kuunganishiwa umeme mmeandika ni NMB tu lkn kuna mtu ameniambia amelipia CRDB je ni sahihi?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.
Tanesco mnampango wa kutuongezea idadi za unit kwa sisi watumiaji wadogo wa umeme kutoka unit 75 kwa mwezi kwenda 100 au 120!?

Naomba nijibiwe maana hizo 75 sasa ni kidigo sana yaani tunajibana hata friji na taarifa ya habar na episode na thamthilia kwa watoto wetu tunagombana hata hawaoni faida ya kuwa na huu umeme, sasa vyuma ni tatizo ukijiachia unahamishwa kwenda tarif 4 aksanteni kwa ushirikiano wetu.
 
Naomba kujua utaratibu uliotumika kwa watu waliolipia umeme na sasa kuanza kuunganishiwa bila taarifa rasmi kuwafikia wengine.

Kwa sasa baada ya taarifa kusambaa zoezi la malipo limesitishwa hatujui hatma yetu ambao hatukupata taarifa na kulipia.


ahsant.
 
Naomba kujua utaratibu uliotumika kwa watu waliolipia umeme na sasa kuanza kuunganishiwa bila taarifa rasmi kuwafikia wengine.
Kwa sasa baada ya taarifa kusambaa zoezi la malipo limesitishwa hatujui hatma yetu ambao hatukupata taarifa na kulipia.


ahsant.
Hahaha wewe ndio umetuambia, kumbe nawe huna taarifa?!
 
Hahaha wanaanza kuyakagua utadhani mmeletewa mapya, au wameanza kutengeneza ya kwao?! Vyuma vimekaza wanataka kuvivunja.
 
nipe taarifa mkuu km unazo
Hata ukiunganishiwa wire umeme haupo, usijisumbue kulalamika, hata waliounganishiwa hawana umeme, labda kama unataka show tu kwenye nyumba yako napo kuna wire za umeme.
 
Haya ya Tanesco unatafuta kutekwa ndugu yangu, hawasemwi hawa siku hizi
 
Aisee mnapenda kukata mno umeme. Sijui maeneo ya Kigamboni na Mbagala yana nini maana kila siku mnachosha sana.
 
Mbona hamjibu kuhusu kupitisha nyaya za umeme mkubwa juu ya nyumba za watu bila idhini yao?

Tafadhalini kama mnahitaji njia busara ni kulipa fidia muachiwe njia
Kama swali gumu kwako tuambie tumulize waziri.
 
Yani huku umeme umekatika sasa miezi tupo gizani transifoma mbovu...kazi ovyo kabisa tanesco kiutendaji bado ubadhilifu mwingi sana..mkuu amechemka hapa
 
Hello naitwa Justinian Barongo nauliza kuunganishishiwa umeme wa REA inachukua muda gani kufanya survey mpaka kuunganisha

Maana Nina nyumba ambayo tayari imefanyiwa mchoro mpaka kufunga wiring kwa kuzingatia vigezo stahiki na fomu niliwaachia Tanesco Bukoba toka Nov 21 2017,ila mpaka Leo sijapata majibu ya surveyor nikiuliza naambiwa mradi wa umeme REA Bukoba vijijini umesimama kwa sasa.

Rai yangu,nilijiongeza kwa kukamilisha kila hitaji Tanesco wanalotaka na naomba kuungnanishiwa umeme maana naamini ni haki yangu ya msingi

Eneo: Bukoba vijijini
Namba ya simu: 0784670549
Karibu : kituo cha bus kinaitwa stop
Jinsi ya kufika: unatoka bkb mjini-kyetema-katerero-kanazi- Ibwera- Kafunjo unakata kushoto-Nyakigando- mishenye kijiji

Mkoa: Kagera
Wilaya: Bukoba Vijijini
Kata: Butelankuzi ukiwa barabarani u naona ziwa Ikimba
Kijiji: Mishenye

Jirani: Dionise,shamba liko barabarani

Thanks
Dear Tanesco team

Thanks for assistance kwa mrejesho ni kabla tar 111/02/2018 surveyor alinipigia club na kuja fanya tathmini na makadirio husika na tar 23/02/2018 nilipata sms kuhusu invoice Lusaka

Nina maswali machache kwenu according to REA kuvutiwa umeme.kwa gharama halisi ikiwemo nguzo moja ni TZS 177000 VAT inclusive (vijijini) sasa naomba patiwa maelezo maana nimechargiwa TZS 454700,je gharama iliyozidi nalipia audio nachangia nini?

Thanks
 
nipo ruangwa lindi
tatizo langu unit zipo kwenye luku na pia nimenunua nyingine nikaweka but luku imejilock na sipati umeme ndani
nisaidie
 
Dear Tanesco team

Thanks for assistance kwa mrejesho ni kabla tar 111/02/2018 surveyor alinipigia club na kuja fanya tathmini na makadirio husika na tar 23/02/2018 nilipata sms kuhusu invoice Lusaka

Nina maswali machache kwenu according to REA kuvutiwa umeme.kwa gharama halisi ikiwemo nguzo moja ni TZS 177000 VAT inclusive (vijijini) sasa naomba patiwa maelezo maana nimechargiwa TZS 454700,je gharama iliyozidi nalipia audio nachangia nini?

Thanks
 
Back
Top Bottom