TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #3,541
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOnipo ruangwa lindi
tatizo langu unit zipo kwenye luku na pia nimenunua nyingine nikaweka but luku imejilock na sipati umeme ndani
nisaidie
1.JINA................................
2.SIMU...............................
3.MKOA.............................
4.WILAYA..........................
5.MTAA/KIJIJI/KATA.........
6.JINSI YA KUFIKA................
7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................
8.NAMBA YA MITA................
9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................
10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................
*Zingatia*
-Kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme
-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme
-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa
"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
nipo ruangwa lindi
tatizo langu unit zipo kwenye luku na pia nimenunua nyingine nikaweka but luku imejilock na sipati umeme ndani
nisaidie