Tunaomba namba yako ya simu mkuuKunani Tanesco jamani tangu jana 3/3/2018 kuanzia saa 1:30 vijiji vya Melela,Mangae,Mkata,Doma mkoani Morogoro hakuna umeme kama kuna tatizo kwanini mfumo rasmi wa utoaji taarifa kwa watumiaji umeme?Kumbukeni huduma hii ni ya malipo ya kabla,mteja amenunua huduma halafu hamtoi Huduma imekaaje hii?
TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WETU WA BAADHI YA MAENEO WANAOKOSA HUDUMA YA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Dar Es Salaam wanaokosa huduma ya umeme leo Machi 4, 2018.
SABABU: Ni line zetu za 11kV U9 na line ya NOTDIC 2 kupata hitilafu.
Jitihada zinaendelea kufanyika kuhakikisha hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usishike waya ulioanguka au uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:
Mitandao ya kijamii
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook Tanesco Yetu
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
MACHI 04, 2018
Kuna kazi kidogo mkuu umeme utarejea soonMaeneo ya Bunju usalama barabara ya kwenda kanisa la Efatha bunju waya za umeme zimekatika jana usiku kutokana na upepo mkali wa jana usiku, mbaka muda huu Tanesco awajafika kuja kurudishia zile waya , Tumelala giza jana kijiji kizima cha Bunju mtaa wa kilungule chini Tanesco tafadharini sana ni kazi ya sekunde tu , lakini mnajivuta vuta hivi utafikiri trasforma imeungua.
Wapi hukoMnasubirigi mechi kubwa ndo inaanza tu ndo mnakataga umeme..hamjui Ni maelfu ya watanzania tunakodolea macho..mnakata
Fika ofisi ya endo lako mkuu utapatiwa fomu kisha uchunguzi utafanyika na kutoa taarifa ya nini kimesababisha au kimepelekea madhara hayo unayodaiUmeme maeneo ya Msalato Bible Dodoma usiku wa kuamkia leo umeunguza vifaa majumbani bila shaka sababu ya high voltage. Tupatie maelekezo taratibu za kudai fidia.
Wilaya gani na namba yako ya simu mkuuTransfoma kijiji cha mkata kata ya msongozi wilaya ya mvomero mkoa wa morogoro haifanyi kazi msaada wenu wakuu!
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app