TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WETU WA BAADHI YA MAENEO WANAOKOSA HUDUMA YA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Dar Es Salaam wanaokosa huduma ya umeme leo Machi 4, 2018.
SABABU: Ni line zetu za 11kV U9 na line ya NOTDIC 2 kupata hitilafu.
Jitihada zinaendelea kufanyika kuhakikisha hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usishike waya ulioanguka au uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti:
www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:
Mitandao ya kijamii
Twitter,
www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook
Tanesco Yetu
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
MACHI 04, 2018