Dah,nimenunua kwa wakala wa Maxcom, mchanganuo upo hv...
100,000.00 (kiasi nilichotoa)
81,065.58 (kiasi kilichonunua)
14,591.80 (vat)
2,431.96 (rea)
810.66 (ewura)
1,100.00 (fee) hiyo ndio nini?
Bora hawa wanajitahidi kujibu....kule dawasco ni shida, hakunaga mtu wa kujibu maswali wala wa kufafanuaShukrani.
Inapendeza sana mkiwa INTERACTIVE kiasi hiki.
0764293390 lunguo moshiTunaomba namba ya simu na eneo lako
Risiti ni kama unavyoona hapo . hakuna maelezoJe kwenye risit uliyopatiwa imeonyesha umekatwa nini
Maelezo ni hayo hapo kwenye summaryRisiti ni kama unavyoona hapo . hakuna maelezo View attachment 733793
Wewe unaejibu haya maswali unaelewa unacho kijibu au upo tu ili mradi umejibuMteja anakatwa vat 18% rea 3% na ewura 1% hakuna makato mengine kwa t1 na d1