GARI LAGONGA NGUZO WILAYA YA ROMBO.

Shirika Umeme Tanzania (TANESCO) linawajulisha Wananchi wake wa Wilaya ya Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro kuwa kuna gari limegonga nguzo na kupelekea baadhi ya maeneo kukosa umeme leo tarehe 2 Julai 2017 eneo la Tarakea

MAENEO YANAYOATHIRIKA:-
Tarakea yote, Usseri, Longido na Kamwanga

HATUA ZILIZOCHUKULIWA
Wataalamu wa Shirika wapo eneo la tukio kuhakikisha huduma inarejea mapema iwezekanavyo.

WITO
Shirika linatoa wito kwa wateja wake kote Nchini kulinda miundombinu ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi, Ofisi za Serikali, Ofisi za TANESCO kote Nchini ili kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa.

Imetolewa na :
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
2 Julai 2017
 
ENEO LA OYSTERBAY HATUNA UMEME KWA ZAIDI YA MASAA 10 HADI NINAPO ANDIKA MADA HII TATIZO NINI?MWENYE TAARIFA TUJUZANE WAJAMENI
NATANGULIZA SHUKRAN
 
Aiseeee!!!!
Nimeshagaa na kusikitika sana
Huwa nasimuliwa huko oysterbay ndo pakishua, leo umeme umekatika?
Kweli BONGO BAHATI MBAYA
 
Umeme sio asili yetu WATANZANIA (usiutegemee sana), jaribu kutumia nishati MBADALA.
 
*TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED*

*POWER INTERRUPTION NOTICE IN COAST REGION*

The Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) regrets to inform its esteemed customers in Coast Region that power supply will be interrupted as follows: -

*DATE:* On Wednesday 12nd July, 2017.

*TIME:* From 09:00 Hrs to 17:00Hrs.

*REASON:* To allow contractor M/S CYLE Engineering Solution to make Foundation
works for relocation of 33Kv Bus Coupler Circuit Breaker at Chalinze
substation for new Twyford ceramic factory feeder located Pingo area.

*AFFECTED AREAS:*
Ngerengere Line: Magwila, Mikoroshini, Nelo, Msolwa, Mdaula, Matuli, Ubena Zomozi, Bwawani, Gwata, Ngerengere, Kidugalo, Kinonko, Sangasanga, Kizuka.

Lugoba Line: Bwilingu, Bunga, Chalinze mzee, Msoga, Mboga, Lugoba, Kinzagu, Mazizi, Msata, Masuguru, Mwetemo, Bago, Kiwangwa, Kihangaiko, Wami, Mandela, Miono, Lupungwi, Makole, Kimange, Mbwewe, Changarikwa.

Please do not touch or approach broken conductor, inform TANESCO through No. 0232402386/0658560404/0787600794 or Call Centre 0768985100

Any inconveniences are highly regretted.

Issued by:
Eng. Martin Madulu
*REGIONAL MANAGER - COAST*
 
TANESCO huduma zenu kwa maeneo ya Kipunguni B ni duni mno.

Baada ya kukatika umeme jana (tukio linalojirudia mara kwa mara) uliporudi nyumba zote zilipata umeme isipokuwa ya kwangu, meta inawaka lakini umeme hauwaki. baada ya kwenda ofisini zenu za Magereza, wamekataa kata kata kunipa reference number kwa ahadi ya kuwa watakuja tu. kwa uwelewa wangu mdogo it is within my rights to get a reference number ya complain yangu lakini ushirikiano ulikuwa mdogo sana na mpaka dakika hii hakuna yeyote aliyekwenda.
Kwa kumbukumbu tu, tatizo kama hili liliwahi kutokea na nilipewa namba tu ambayo baada ya kuweka kwenye mita yangu ikafunguka.

Ila leo nahisi natengenezewa mazingira ya kupigwa pesa kutokana na ushirikiano duni niliopewa.

kama itakuwa na msaada wowote kwenu, hii ndio meter number yangu 54130476911. Namba yangu ya simu ni 0784 416 504, Kipunguni B kata ya Kivule karibu na Kipako Maburini.

Narudia tena mna haja ya kubwa ya kutazama ofisini zenu za Magereza, huduma duni sana.
 
Tumeipokea mpendwa mteja kama ambavyo tumeonge tutaifanyia kazi
 
 
jamani naomba kujua mwezi wa sita nimenunua umeme wa tsh.9500 nilipewa units 75 mwezi huu nimeshindwa kuelewa kabisa tarehe moja nimenunua pesa ileile tsh.9500 nikapewa units 26 naomba kuelewa tatizo ni nini niko Kagera Biharamulo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…