Mkuu umeme wa kukuunganisha unatoka wapi?,Subiri kwanza mgao uishe.Ndugu zangu kwanini kuomba kuunganishiwa umeme na Tanesco imekua kama hisani hasa kwa chanika ,wananchi wanaomba umeme tangu mwezi June hadi sasa hakuna chochote
Kingine nafikiri hawana target kwa maunganisho mapya..yani huduma ya jamii kama hisani vile🙄Hakuna ushindani, biashara ikikosa ushindani ufanisi unapungua.
Ndugu mpendwa Mteja wetuNdugu zangu kwanini kuomba kuunganishiwa umeme na Tanesco imekua kama hisani hasa kwa chanika ,wananchi wanaomba umeme tangu mwezi June hadi sasa hakuna chochote
Ndugu mpendwa Mteja wetuKule Mkoa wa Mara TANESCO wanataka milioni na nusu kwenye nguzo nne kufikisha kwenye nyumba.
Mwaka wa 3 sasa tunalalamika juu ya nyaya za umeme kulegea zipo chini kiasi kwamba unaweza kuzani ni kamba ya nguo ukaanikaaa na imepita kwenye nyumba yangu tangu 2017 tunaletaa malalamiko ila hamuyatekelezii mnataka watoto wetu waziguse hizo nyaya wafee????[emoji848][emoji848][emoji848]Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Tusaidie namba ya taarifa, namba ya simu na wilaya kwa hatua zaidiMwaka wa 3 sasa tunalalamika juu ya nyaya za umeme kulegea zipo chini kiasi kwamba unaweza kuzani ni kamba ya nguo ukaanikaaa na imepita kwenye nyumba yangu tangu 2017 tunaletaa malalamiko ila hamuyatekelezii mnataka watoto wetu waziguse hizo nyaya wafee????[emoji848][emoji848][emoji848]
Namba ya taarifa 3888,,2711Tusaidie namba ya taarifa, namba ya simu na wilaya kwa hatua zaidi
Hatimaye leo nimefungiwa umeme toka tarehe 1/7/21Tunashukuru kwa taarifa, tumefanikiwa kuona taarifa zako tunaomba tuzifatilie kwa hatua zaidi
Namba ya simu ni iyo 0764097826Uliandika namba hii ya simu? Tusaidie mwezi... mkoa... na namba ya simu uliyokuwa umeandika
Huko mvua hazinyeshi?Chonde chonde Kwa wakazi wa mwanza mgao ndio umeanza RASMI muda huu..ktk wilaya ya ilemela mkoani mwanza..umeme ushakatwa na utarejea jioni. jianadaeni na mshumaq Huko wa nyamagana..
..Nawaskitikia wakazi wa geita sengerema na chato
Sidhani kama kanda ya ziwa kuna bwawa la umeme. So kunyesha huko sio kesiHuko mvua hazinyeshi?