greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Sisi wa usagara jana walikata mapema mno ukarudi saa 12 jioniChonde chonde Kwa wakazi wa mwanza mgao ndio umeanza RASMI muda huu..ktk wilaya ya ilemela mkoani mwanza..umeme ushakatwa na utarejea jioni. jianadaeni na mshumaq Huko wa nyamagana..
..Nawaskitikia wakazi wa geita sengerema na chato
Ni kweli maji ni ya mgao kwasababu mitambo ya kusukuma maji inategemea uwepo wa umeme. Kama umeme hakuna, obviously na maji hakuna!Mkuu hata maji mbona niya mgao
Wewe umehamia Mwanza jana eti? Mgao wa umeme upo tangu Octoba, Makamba alianza kutudanganya kuwa ni planned maintenance hadi saa tisa uziku kulikuwa na matengenezo! Shame Makamba!Chonde chonde kwa wakazi wa Mwanza, mgawo ndio umeanza RASMI muda huu.. katika Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza..umeme ushakatwa na utarejea jioni. Jianadaeni na mshumaa Huko wa Nyamagana..
Nawaskitikia wakazi wa Geita, Sengerema na Chato
Wewe bila Shaka itakuwa mjane wa mwendazake,ndiyo maana unamlilia Kalemani.Kosa kubwa saaana Kalemani kutumbuliwa wizara hio...
Kunta...mi nipo visiwani huku ukerewe sasa huku sio mgao ila ni mgawanyo, juma limepita sasa hakuna umeme hawa wahuni wa tanesco wanazurura tu na magari yao... Huku nahisi sio tz sasa kisiwa kimezungukwa na ziwa ila maji hawa idara husika wamelala tu usingizi wa ponoWapiga kura wa mwendazake wapo gizani, utashangaaa kanda ya ziwa inakuwa na mgao wa maji wakati wana ziwa karibu
Wamekata tena mkuu.. Ulikuwa mnuso tuUkerewe toka ijumaa umeme ulikatika, umerudi usiku wa kuamkia leo (IJUMAA-ALHAMIS)
Umerudi mkuu!! Hahaha kumbe tunateseka pamoja!!!Wamekata tena mkuu.. Ulikuwa mnuso tu
Kizibo, nipo uwanja wa ndege huku aiceee panafahamika kama nkirizya... We pande zipiUmerudi mkuu!! Hahaha kumbe tunateseka pamoja!!!
Upo maeneo gan mkuu
Nansio mkuuKizibo, nipo uwanja wa ndege huku aiceee panafahamika kama nkirizya... We pande zipi
#aiceee kizibo nipe contacts jion ntakuwa uwanja wa mongera hapo nikutafte tuyajenge mkuu..Nansio mkuu
Mkuu, nitafutie mrembo 1 wa hapo Nkirizya nisuuze rungu mkuu#aiceee kizibo nipe contacts jion ntakuwa uwanja wa mongera hapo nikutafte tuyajenge mkuu..
Hahaha sasa inabid tutaftane ucjaliMkuu, nitafutie mrembo 1 wa hapo Nkirizya nisuuze rungu mkuu
Hata morogoro yaani umeme unakata sanaSongea ni sehemu inayoongoza kukata kwa umeme, kila siku mgao na hakuna hata kiwanda kimoja. Mgao huu ws kila siku ni kero na sijajua PERCENTAGES ngapi TANESCO wanapata kama faida kwa umeme wa mgao. Sijajua kilio hichi kinaisha lini