Igurumuki Masanja
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 993
- 2,021
Umelipa TSh 6,000 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:54205135483. Muamala: 25472915640. Salio jipya ni TSh 96. Jumla ya Makato TSh 100. (Ada TSh 0, Tozo TSh 0), VAT TSh 15. 25/01/22 21:11.Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
Tatizo ni nini Tafadhali?Umelipa TSh 6,000 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:54205135483. Muamala: 25472915640. Salio jipya ni TSh 96. Jumla ya Makato TSh 100. (Ada TSh 0, Tozo TSh 0), VAT TSh 15. 25/01/22 21:11.
0766290507Karibu tukusikize, tafadhali onyesha namba ya simu, tatizo na Wilaya kwa hatua zaidi
NNdugu Mteja
Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
TANESCO Huduma kwa Wateja
0748550000
Tunaona wastani wa matumizi yako kwa mwezi ni uleule miezi yote hivyo hakuna tatizo vinginevyo umuite fundi aliyesajiliwa kukagua muliundombinu yako ya umeme
Pata elimuMkuu umesema wastani wa matumizi ya umeme uko sawa ila Mimi hapa mwenyewe nimenunua umeme wa 5000 juzi hiyo units 14 ukaisha asubuhi yake na ulivyoisha Jioni yake tena nikanunua Tena umeme wa units 11 na ndo nilioujaza ila kuamkia asubuhi Leo hii umeme umekata maana kile kiluku kidogo Cha kujazia umeme kinaonesha zero units Sasa kwann wastani wa matumizi uwe sawa ndani ya siku mbili tutumie umeme wa units 25...???
Na fundi wa Tanesco tuliyempigia simu kasema shida ni MITA kubwa inabidi tuibadilishe na kuibadilisha unalipia Ela afu process zinafanyika mwezi mzima ndo anakuja kuifunga Sasa sijajua.
Unawaonea, ila itakula 2.4kwhTANESCO mimi nauliza hivi kwa mfano bulb moja ya watts 100 inaweza kutumia unit ngapi kwa masaa 24?
Huyu tumchongee wamtoe huyu waweke mwingne.ana majibu ya jumla snaaa...mimi nampa siku mbili asipojirekebisha ajue kabisa wengne tunachat na hata huyo kiongoz wake kule twita na anatusikiliza sasa aendelee hiv hivMuliundombinu ndio nin afisa habari mpya!?
Okay hili la kuzima main switch baada ya lisaa limoja nimefanya majaribio tayari na hamna umeme uliopotea ila nikiwasha umeme ndo unaenda kwa Kasi ya ajabuPata elimu
Tafadhali tambua kuwa mita haili umeme bali ni matumizu ya mteja, kiasi cha matumizi ya mteja kinategemea
1.Vifaa vyake
2.Tabia za utumiaji
3.Ubora wa wiring yake
4.kutivuja kwa umeme haswa wiring iliyochakaa
Hivyo unaweza kufanya majaribio kwa kuzima kila kitu hata saa moja kisha kuangalia kama mita itaendelea kuhesabu matumizi
Wewe ni mwenzangu, tatizo letu ni moja, na nimefanya yote hayo. Umeme unakimbia kama Juma Ikangaaa.Okay hili la kuzima main switch baada ya lisaa limoja nimefanya majaribio tayari na hamna umeme uliopotea ila nikiwasha umeme ndo unaenda kwa Kasi ya ajabu
Tafadhali tujulishe tatizo ni nini? Wilaya na namba ya simu kwa hatua zaidi
Tafadhali pokea umeme wako ulionunua tarehe 31/01/2022huwa natumia SimBanking kununua umeme
tangu ninunue umeme hadi Leo sijawahi kuupata na hela ilikatwa!
Nilinunua mara mbili kimakosa (Tsh 9,000 x 2)
ya kwanza nilipewa tokens
Ila ya pili hazijawahi kufika:
Tangu Tarehe 31 August, 2019
saa 3 usiku
Namba za Mita:
43000245977
Details zingine nimekutumia Inbox