Ndugu mteja
Kila mahali umeme unapokatika kuna kuwa na sababu maalumu na inatangazwa kwa wateja ndio maana tumekuomba taarifa za eneo lako unalolalamikia, namba yako ya simu tukusikilize. Tupo kukusikiliza na kukupatia ufafanuzi muda wote
HIVIII...MMESHAWAHI KUSEMA KUWA MNAUPUNGUFU WA UMEME???

TANESCO
 
TANESCO nawapongeza sana kwa hatua hii ya kuwa karibu na wateja wenu na kusikiliza kero kwa namna hii kupitia mitandao ya kijamii.
kwahiyo umeme kwako utapatikana masaa yote etiee...
mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Hivi tanesco mna shida gani kukata Umeme muda usiku huu SAA 00:14 au unataka watu waibiwe na kufanyiwa vitu vya kialifu maeneo yenyewe haya hata police wapo mbali
warudishe IPTL
 
Habari mimi mita yangu 01343203327 matumizi yangu madogo lakini nipo tarrif 1 nitafanyaje niwe tarrif 4, namba yangu 0655746895
 
Habari mimi mita yangu 01343203327 matumizi yangu madogo lakini nipo tarrif 1 nitafanyaje niwe tarrif 4, namba yangu 0655746895
Tafadhali fika ofisi ya eneo lako ujaze fomu kwa hatua zaidi ili kufuata utaratibu uliowekwa
 
Umeme unaosambazwa katika wilaya za Kilwa,Rufiji na Kibiti umekuwa ukikatika katika mno

1. Nini chanzo cha kukatika katika Umeme huo?

2. Tanesco mnampango gani wa kuliondoa tatizo hilo?
 
Umeme unaosambazwa katika wilaya za Kilwa,Rufiji na Kibiti umekuwa ukikatika katika mno

1. Nini chanzo cha kukatika katika Umeme huo?

2. Tanesco mnampango gani wa kuliondoa tatizo hilo?
Eneo gani haswa ulilolisema na namba yakk ya simu tafadhali
 
naona jengo lenu pale makao makuu bwana mkubwa kasema libomolewe
 
Hivi mtu akinunua umeme kwa mpesa, tigo pesa.... Au mwakala wa max malipo au Tanesco kuna tofauti ya malipo ya gharama katika unit?
 
Tunaomba namba yako ya simu
Mkuu uchukua muda gani kwa mteja kuunganishiwa umeme toka alipotuma maombi ya kuunganishiwa,na itamgharimu kiasi gani cha pesa iwapo zitahitajika nguzo 2 au 3 hadi umeme umfikie site kwake?
 
Hivi mtu akinunua umeme kwa mpesa, tigo pesa.... Au mwakala wa max malipo au Tanesco kuna tofauti ya malipo ya gharama katika unit?
Hakuna tofauti yeyote mpendwa mteja njia zote unapata kiasi kile kile
 
Mkuu uchukua muda gani kwa mteja kuunganishiwa umeme toka alipotuma maombi ya kuunganishiwa,na itamgharimu kiasi gani cha pesa iwapo zitahitajika nguzo 2 au 3 hadi umeme umfikie site kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…