MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
HIVIII...MMESHAWAHI KUSEMA KUWA MNAUPUNGUFU WA UMEME???Ndugu mteja
Kila mahali umeme unapokatika kuna kuwa na sababu maalumu na inatangazwa kwa wateja ndio maana tumekuomba taarifa za eneo lako unalolalamikia, namba yako ya simu tukusikilize. Tupo kukusikiliza na kukupatia ufafanuzi muda wote
TANESCO