TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
TANESCO KWA SASA MTWARA SIJUI MNATUSAIDIAJE YANI KERO YA KUKATIKA UMEMME KILA SIKU HATA BIASHARA ZETU HAZIENDI AISEE HEBU TAFUTEN UFUMBUZI MAANA IMEKUA KERO SANAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello TANESCO, pia tusikariri issue ya kutoa maelekezo ya sehemu nyumba ilipo tu..pia nyie pia hizo transforma zenu mnatakiwa mzipe namba na wateja wenu wa umeme wajue kwamba wao wanahudumiwa na transforma namba ngapi ili ikileta shida anataja namba ya transforma ili nyie mjue ni eneo gani au ndipo maelekezo yaanzie hapo

Kingine toene namba ya Whatsapps ili mteja akipiga wakati anatoa maelezo alafu anatuma na location kwa whatsapp ili msome
 
Hello TANESCO, pia tusikariri issue ya kutoa maelekezo ya sehemu nyumba ilipo tu..pia nyie pia hizo transforma zenu mnatakiwa mzipe namba na wateja wenu wa umeme wajue kwamba wao wanahudumiwa na transforma namba ngapi ili ikileta shida anataja namba ya transforma ili nyie mjue ni eneo gani au ndipo maelekezo yaanzie hapo

Kingine toene namba ya Whatsapps ili mteja akipiga wakati anatoa maelezo alafu anatuma na location kwa whatsapp ili msome
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO.....................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.

NDUGU WAPENDWA WATEJA WETU MNAOTOA TAARIFA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII TUNAWAOMBA MZINGATIE YAFUATAYO ILI KURAHISISHA UFAFANUZI NA UFUMBUZI WA TATIZO AU TAARIFA HUSIKA

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)


TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO.....................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"

Sent using Jamii Forums mobile app
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.

NDUGU WAPENDWA WATEJA WETU MNAOTOA TAARIFA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII TUNAWAOMBA MZINGATIE YAFUATAYO ILI KURAHISISHA UFAFANUZI NA UFUMBUZI WA TATIZO AU TAARIFA HUSIKA

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)


TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi natumia unit35 kwa mwezi lkn kwagarama ya tsh 30 elf nahii ni Tanesco Nyakato mza ndo wameniunganisha hii nisawa??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa kabsa,

Ili uwe mteja mdogo lazima uende ofisini nankuomba ndio waangalia kama kweli umekidhi vigezo baada ya hapo wanakupa utaratibu unaofuata.

Lakni hakikishankweli matumiz yako ni madogo, kama unanunua umeme wa shilingi 30 elfu na kumaliza wewe bado ni mteja wa kawaida, ili ubadirishiwe Tarrif kama upo T1 unatakiwa usizidi umeme wa shilingi 26 elfu kila mwezi na ukibadilishiwa Tarrif ukawa Tarrif 4 unatakiwa uzidi umeme wa shilinggi 9150

Karibu

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Sio kweli!! We nawe niwalewale nimepigiwa sim na MTU wa Tanesco kasema kuanzia unit75 kwa mwezi wewe ni wa taarifu 4 ninunue kwa tsh100 unit moja zaidi yahapo ni Jinai,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli!! We nawe niwalewale nimepigiwa sim na MTU wa Tanesco kasema kuanzia unit75 kwa mwezi wewe ni wa taarifu 4 ninunue kwa tsh100 unit moja zaidi yahapo ni Jinai,

Sent using Jamii Forums mobile app
-D1 (UNIT 0-75) TSH 100 PER UNIT IKIZIDI UNIT 75 INAKUWA TSH 350

-T1 UNIT zaidi ya 75 to 7500 Bei ni 292 per unit

-T2 Gharama kwa mwezi ni 14233, gharama ya umeme kwa ni 195 per unit

T3- M - gharama ya huduma kwa mwezi ni 16769 na bei ni tsh 157 per unit


T3-gharama ya huduma kwa mwezi ni 16550 na bei ni 152 per unit


Bei zote ni bila VAT 18% REA 3% na EWURA 1%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila km bado yupo yule mama Maneger wa Tanesco mkoa!!! Nikiboko yule anafuatilia bwana ukibahatika kumfikishia Shida yko, naukawa Na madai ya ukweli!! MWe MWe MWe Siku hiyohiyo yule mama nikiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nina Maswali kadhaa.

Hivi nyumba ikiwa na Matumizi makubwa ya Umeme wakati kiuharisia sio kweli unafanyaje????. Mfano Mtu anavifaa vinavyohitaji Umeme mdogo Kama 4 kwh per day. Lakini Meter inasoma 12kwh per day. Shida inaweza kuwa nini. Maana tumebadili earth rod bado, tumerudia wiring Bado.

Lakini tukienda tanesco wanatuambia tufanyeyaleyale niliyoyaeleza hapo juu. Hivi haiwezekani Meter kuwa na matatizo
 
Mkuu nina Maswali kadhaa.

Hivi nyumba ikiwa na Matumizi makubwa ya Umeme wakati kiuharisia sio kweli unafanyaje????. Mfano Mtu anavifaa vinavyohitaji Umeme mdogo Kama 4 kwh per day. Lakini Meter inasoma 12kwh per day. Shida inaweza kuwa nini. Maana tumebadili earth rod bado, tumerudia wiring Bado.

Lakini tukienda tanesco wanatuambia tufanyeyaleyale niliyoyaeleza hapo juu. Hivi haiwezekani Meter kuwa na matatizo
Asante mkuu,

Kama umehakikisha kila kitu kipo sawa, unafika ofisi ya TANESCO iliopo karibu na wewe nankuomba huduma ya ukaguzi wa mita au METER TEST huduma hii baada ya kuomba unalipia kiasi kidogo sana shilingi 3000 tu. Baada ya hapo mafundi watafika kwenye nyumba yako na kuikagua mita hio kamaninakula umeme sawa sawa au kimakosa.

Kama mita ni tatizo TANESCO tutakujulisha kwa barua na kuchukua hatua mara moja ya kuibadilisha mkuu.

Je nyumba ipo wapi mkuu

TANESCO "Tunayaangaza maisha"
 
Back
Top Bottom