dkamgu
Senior Member
- Sep 11, 2017
- 119
- 71
Voda 0762685338Tunaomba namba yako ya simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda 0762685338Tunaomba namba yako ya simu
Mita ya kwanza ndio sahihiNipo mkoa wa mwanza wilaya ya misungwi juzi TANESCO wamekuja kuniwekea Huduma ya UMEME nyumbani kwangu ila cha ajabu walipoondoka nilipokuja kuchunguza namba ya mita na iliyopo kwenye card imezidiana kwa namba moja mf iliyopo kwenye meter inasomeka hivi 37154734976 na ya Card ni 37154734976 5. Sasa hapo sijajua namba sahihi ni IPI nisije kununua UMEME kumbe nanunua kupitia namba ya MTU mwingine
Tunaomba namba yako ya simu kwa ufatiliaji zaidi mpendwa mtejaHivi hawa tanesco kwa nini hamleti umeme buhongwa wakati ni mjini tena ni wilaya ya nyamagana ?...ina maana gani mpaka sasa hivi sehemu ya jiji la mwanza kuna vitingoji havina umeme ? Huku buhongwa kitongoji cha nyakagwe hakujafika umeme na mnapiga danadana kila siku mnatudanganya umeme utakuja shida ni nini? mnataka hivi taarifa zimfikie mkuu au mnatakaje naomba tanesco mwanza wanijibu tofauti na hapo niwapandie juu muone moto wake...vijiji vina umeme hapa mjini kilichowashinda ni kipi mpaka sasa umeme hatuna?
Tumeipokea tunakupatia ufafanuzi muda mfupi ujaonaomba kufaham hapa singida kuna eneo linaitwa kimpungua lipo karibu kabisa na substation kuu ya grid ya taifa chakushangaza umeme haupo ni km 2 kutoka katikati ya mji wa singida tunaomba kujua nn tatzo la kukosekana kwa umeme eneo Hilo?
shukanumeme wako
View attachment 592049
Nashukuru sana.Tumeipokea mpendwa mteja
jina lililotumika ni Goodluck M. Justus...mkoa Dar...wilaya Kinondoni na namba ya fomu ni 513017-02124Uliomba kwa jina gani mkoa na wilaya gani na namba yako ya fomu
Jina... namba ya simu na namba ya mita mkuutatizo langu la kurudishiwa unity zangu baada ya kubadiliwa metre na ofisi yenu ya tazara tangu mwezi wa tano mmeniambia niwape namba za luku ya zamani na mpya mbona kimya au lipo nje ya uwezo wenu?