Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama boss zake wakishindwa basi nguvu ya umma itamuweza we muache tu.Billing account wa manyara babati anakauli mbaya sana kwa wateja na madharau, hili swala naona limekosa ufumbuzi maana kwa wakubwa wake wa kazi, mrekebisheni aache kutujibu vibaya wateja
Yani yule iko siku atakipata, maana unauhasama na kila mtu kutokana na kauli zakeKama boss zake wakishindwa basi nguvu ya umma itamuweza we muache tu.
Tunaomba namba yako ya simu na kiasi cha makadirio ulichopewa kwa maandishi maana quotation zetu ni kwa maandishiTulitoa humu malalamiko yetu sisi wakazi wa malamba mawili, kuhusu mradi wa nguzo Tisa
Mlituelekeza twende ofisi za Tanesco mbezi
Baada ya kufika ofisi za Tanesco mbezi
Mradi wetu unasomeka hivi
PROJECT NO 8
T 052774 ( malamba mawili)
9 LT poles
Sasa basi hapa kuna Tatizo kubwa Sana Tumeambiwa tutoe kiasi cha PESA million 2 ili zitumike kununulia waya
Inaonyesha wahusika wanahitaji rushwa ya million 2 ili mradi uweze kukamilika
Tumerudi tena kwenu Tanesco makao makuu je, hii ni Sawa?.
au Tanesco siku hizi ofisini kwenu mmeweka vishoka.
Hawo ni matepeli na hawahusiki na huduma za Tanesco fika ofisini kama kuna gharama utapewa kwa maanishi ukalipe kisha unapewa risitAwakutupa maandishi walikuwa wanatueleza kwa maneno hla nilkuwa ktk ofis za Tanesco mbezi,no yangu 0754294102)
Th apongeza sana kwa kuuliza na kuwasihi kuwa makini kuna vishoka wanaojifanya ni awatumishi wa tanescoHapa hatujafikia swala la makadirio tulikuwa tunakumbushia mradi wetu umekwamia wapi,
Baada ya maelekezo yenu ya kwamba tuende ofisi za Tanesco mbezi
Ndio tukafika pale ofisi za Tanesco mbezi
Walichotuambia ni kwamba mradi umekwama kwa sababu ya kukosa waya
Ndio wakatuagiza kwa mdomo tutoe milion 2
Kwa ajili ya manunuzi ya waya
Sisi tukaingia wasi was ndio maana tumerudi kwenu makao makuu
Namba yangu ya SIM 0754 294 102
Jumatatu fika ofisi ya manager ili upate maelezo sahihiWalio tuomba tutoe milion 2 ya kununulia waya ni watumishi wenu tanesco wapo ofsn tumepewa majibu hayo tukiwa ndani ya ofis ya manager wa miradi mbezi na tukaomba namba ya mradi wetu tukiwa tunaosoma wenyewe kwenye screen ya computer wenyewe ndo akatuandikia kwenye karatasi ambayo no 8 =T052774(malamba mawili 9 Lt poles