SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
MAENDELEO YA MATENGENEZO YA DHARURA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA KINYEREZI I
Tunawataarifu Wateja kuwa Wataalamu wetu bado wanaendelea na kazi Kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi asilia cha Kinyerezi I.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.
Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100
Tovuti:
www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
31/10/2017