TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hakika Tanesco kuna tatizo jipya,huu iukataji was Umeme bila taarifa na tahadhari,so desturi zenu. Mnaleta hasara ya kiuchumi kwa Wateja na taifa. Iweje MF Leo Karagwe mkate umeme Mara zaidi ya NNE KTK SAA 12????
 
Hongereni kidogo sasa mumebadilika, mnastahili pongezi. Huu mgao mkoa wa Morogoro wilaya kama Kilosa na Mvumero utaisha lini? Pia mgao hauna ratiba.
 
Jamani ndugu mimi nae ni mwananchi wa kawaida ila nina ujuzi na masuala ya umeme.

Tanesco hawakati umeme kwa makusudi hata siku moja.

Tanesco wanapata hela kutokana na kuwepo kwa umeme na hapo unapotumia units, hivyo basi ukiona umeme umekatika kwako au mtaa wenu basi jua kuna shida ambayo iko nje ya uwezo na inahitaji muda kutatuliwa

Asanteni
 
Hongereni kidogo sasa mumebadilika, mnastahili pongezi. Huu mgao mkoa wa Morogoro wilaya kama Kilosa na Mvumero utaisha lini? Pia mgao hauna ratiba.
Hakuna mgao wa umeme Mteja
 
BADO NIMELALA GIZANI KWA SIKU YA 4 LEO TURUDISHIENI UMEME NINYI TANESCO................... KULE KUNDUCHI MTONGANI UMEME UNAWAKA BAADHI YA NYUMBA NA NYINGINE UMEME UNAWAKA NA KURUDI MNATUOZESHEA VITOWEO VYETU NA BIASHARA SASA HAZIFANYIKI HATUWEZI KUNYOOSHA HATA NGUO ZA KUJIA MAOFISINI KWANI KAZI YENU HASA NINI MNASEMA MPAKA MAJI YAKAUKE KWAHIYO KIPINDI HIKI CHA MVUA MOAKA KIISHE NDO MTAREJESHA UMEME?
 
BADO NIMELALA GIZANI KWA SIKU YA 4 LEO TURUDISHIENI UMEME NINYI TANESCO................... KULE KUNDUCHI MTONGANI UMEME UNAWAKA BAADHI YA NYUMBA NA NYINGINE UMEME UNAWAKA NA KURUDI MNATUOZESHEA VITOWEO VYETU NA BIASHARA SASA HAZIFANYIKI HATUWEZI KUNYOOSHA HATA NGUO ZA KUJIA MAOFISINI KWANI KAZI YENU HASA NINI MNASEMA MPAKA MAJI YAKAUKE KWAHIYO KIPINDI HIKI CHA MVUA MOAKA KIISHE NDO MTAREJESHA UMEME?
Tunaomba namba yako ya simu na namba ya taarifa mpendwa mteja
 
Naomba nifafanuliwe pia umeme mkoa wa kigoma hasa wiliya ya kasulu una shida gani?
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA MATENGENEZO YA DHARURA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA KINYEREZI I

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa Wataalamu wetu wanafanya matengenezo ya dharura katika Mfumo wa kupokea gesi kwenye kituo cha kuzalisha umeme kwa njia ya gesi asilia cha Kinyerezi I.

Hivyo Kituo kitazimwa Saa 6:00 mchana hadi Saa 7:00 Mchana ili kupisha matengenezo.

Baadhi ya maeneo mbalimbali ya nchi katika kipindi hicho yatakosa umeme.

Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

31/10/2017
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

MAENDELEO YA MATENGENEZO YA DHARURA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA KINYEREZI I

Tunawataarifu Wateja kuwa Wataalamu wetu bado wanaendelea na kazi Kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi asilia cha Kinyerezi I.


Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

31/10/2017
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

MAENDELEO YA MATENGENEZO YA DHARURA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA KINYEREZI I

Tunawataarifu Wateja kuwa Wataalamu wetu bado wanaendelea na kazi Kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi asilia cha Kinyerezi I.


Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

31/10/2017
Hivi mmeajiri mafunďi kwaajili ya kukata umeme tu? maana hicho kitengo mmefanikiwa kwa asilimia 100...jana tangu alfajir mmkata umeme mķarudisha mchana mkakata tena mkarudisha usikù tena ukawa unawaka kama indicator ya gari mpaka mmeniunguizia Tv niliyonunua kwa gharama kubwaa.

Nalaani kitendo hicho
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

MAENDELEO YA MATENGENEZO YA DHARURA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA KINYEREZI I

Tunawataarifu Wateja kuwa Wataalamu wetu bado wanaendelea na kazi Kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi asilia cha Kinyerezi I.


Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

31/10/2017
Ni vyema mkatuambia kuna mgao wa umeme. Si asubuhi sio usiku mnatukatia tu umeme.
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WETU WANAOKOSA HUDUMA YA UMEME

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa maeneo mbalimbali ambao hawana huduma ya umeme kutokana na Matengenezo Kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi asilia cha Kinyerezi I.

Kazi bado inaendelea ya kurekebisha Mfumo wa gesi uliopata hitilafu.

Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

31/10/2017
 
Huku tanga tuna mgao WA kimya kimya alafu taharifa awatupi tunakaa Giza naomba mliganyie kazi
 
Back
Top Bottom