Issa SLuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 2,303
- 1,803
We kula kulala nenda kapige soga na watoto wenzioRubbish!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kula kulala nenda kapige soga na watoto wenzioRubbish!
Mbona sijibiwiNi lini hii huduma yenu itafika hapa, na wakati mji wa mbele ya maili 35 una umeme? Pia ni lini na tutajuaje kuwa ndo mnaleta umeme. Au sisi wananchi tufanye nini ili mlete hii huduma kwa haraka hapa maana ni shida tupu
nchi nzima hakuna umeme nasikia
poleniMkuu jamaa hawajali mambo ya umeme ili mradi ccm inakubalika. Si umeona wanechukua kata ngapi?
Ulivyoandika utahisi kuwa umekatwa kichwa, hiyo stiglers george utakamilika baada ya miezi mingapi? Ili tuweze kuvumilia?Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
umeme umeshindikana ndugu..haya mambo yaliisha..waongee tu na Seth Singh..kukosekana huku umeme na hela ya kumpa Singh nadhani bora kumpa singhUnapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
wizi mtupuUmeme hakuna tangu Jana ....
Alafu wenyewe wanasema nchi ya viwanda
Ova
mbona nimeambiwa arusha hamna umeme....
....Arusha umeme wa kijiko