SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
*TAARIFA YA KUANZA KUREJEA KWA UMEME *
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa umeme umeanza kurejea katika Mikoa ya Dodoma, Iringa na baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Tanga.
Jitihada zinaendelea kuhakikisha huduma ya umeme inarejea katika maeneo yote nchini.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka
Kwa mawasiliano zaidi
Tovuti:
www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd
twitter.com/
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
01/12/2017