LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Tanesco, mimi nina ushauri, kumekuwa na tariff za kutumia umeme chini ya unit 75 wana lipa chini ya tshs 10,000. Baada ya hapo wanaotumia zaidi ya unit 75 laki i chini ya unit 250 mmewachanganya na wenye viwanda vidogo.
Ushauri wangu , ningeona mutenganishe tena la watumiaji wa unit chini ya 250 ili kuwapunguzia gharama watumiaji wa nyumbani. Itapendeza
Ushauri wangu , ningeona mutenganishe tena la watumiaji wa unit chini ya 250 ili kuwapunguzia gharama watumiaji wa nyumbani. Itapendeza