Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,365
Naona Tatizo La Luku Limerudi Tena, Tangu Aubuh tunanunua Umeme Ila Token Hairud Na Sasa Voda Wamesema Hakuna Huduma.Je umefika ofisi ya wapi? Namba ya simu tafadhali
Tukapange Tena Foleni Ama!! Mnatia Hasira Hata Maneno Machafu Hayawafai Tena.