aliisaac1000
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 407
- 272
TANESCO HIVI TUNALAZIMIKA KUJA OFISINI KWENU MARA NGAPI ILI MTATUE KERO ZETU?
Nimeleta malalamiko ya kuharibika kwa meter ambayo tena ni ya zamani ( 04088164605) ambayo hajabadilishwa kwa sababu zisizojulikana na pamoja na kubisha hodi mara 4 ofisini mikocheni kilometer zisizozidi mbili toka sehemu ninakoishi na kupewa RF: 0210 huu unaenda ni mwezi wa Pili hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa- inasikitisha, nafikiria kwenda EWURA ku lodge malalamiko rasmi.
Nimeleta malalamiko ya kuharibika kwa meter ambayo tena ni ya zamani ( 04088164605) ambayo hajabadilishwa kwa sababu zisizojulikana na pamoja na kubisha hodi mara 4 ofisini mikocheni kilometer zisizozidi mbili toka sehemu ninakoishi na kupewa RF: 0210 huu unaenda ni mwezi wa Pili hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa- inasikitisha, nafikiria kwenda EWURA ku lodge malalamiko rasmi.