TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)

TAARIFA YA KUOMBA RADHI KWA BAADHI YA WATEJA WA MKOA WA KINONDONI KASKAZINI


Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kaskazini linawaomba radhi kwa wateja wake wa maeneo ya Oysterbay, Kinondoni, Msasani pamoja na maeneo ya jirani kwa kukosa huduma ya umeme kuanzia muda mfupi uliopita.

JITIHADA
Mafundi wetu wanafanya jitihada ili kuweza kubaini chanzo cha tatizo na kurekebisha ili kuhakikisha huduma inarejea katika hali ya kawaida.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza

Tahadhari

Usikanyage wala kugusa waya uliokatika au kulala chini.

Wasiliana nasi kwa simu na.zifuatazo: Dawati la dharura Mkoa wa Kinondoni Kaskazini: 0716768584/0784768584

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- KINONDONI KASKAZINI
27-10-2021
Huu umeme ushaniingizia lawama tYari

Hapa nna kimeo tayari na mtu

Ova
 
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)

TAARIFA YA KUOMBA RADHI KWA BAADHI YA WATEJA WA MKOA WA KINONDONI KASKAZINI


Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kaskazini linawaomba radhi kwa wateja wake wa maeneo ya Oysterbay, Kinondoni, Msasani pamoja na maeneo ya jirani kwa kukosa huduma ya umeme kuanzia muda mfupi uliopita.

JITIHADA
Mafundi wetu wanafanya jitihada ili kuweza kubaini chanzo cha tatizo na kurekebisha ili kuhakikisha huduma inarejea katika hali ya kawaida.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza

Tahadhari

Usikanyage wala kugusa waya uliokatika au kulala chini.

Wasiliana nasi kwa simu na.zifuatazo: Dawati la dharura Mkoa wa Kinondoni Kaskazini: 0716768584/0784768584

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- KINONDONI KASKAZINI
27-10-2021
Nmeambiwa umeme umerudi safi sana

Tulishakula hela ya mtu huku

Ngoja kazi iendelee

Ova
 
Naomba kusaidiwa kwa mambo haya mawili.
1. Kujuwa gharama harisi ya kupunguziwa matumizi kutoka matumizi makubwa kwenda matumizi madogo. Maana jirani hapa akinunua umeme wa sh.2000/= anapewa Unit 14 na mimi nikinunua umeme wa bei hiyo hiyo napewa Unit 4,

2. Nilikuwa naomba nisaidiwe hili tarehe 11/4/2021 nilinunua umeme wa sh.1500 kwa njia ya mtandao wa halotel mpaka leo sijapewa token.
 
Naomba kusaidiwa kwa mambo haya mawili.
1. Kujuwa gharama harisi ya kupunguziwa matumizi kutoka matumizi makubwa kwenda matumizi madogo. Maana jirani hapa akinunua umeme wa sh.2000/= anapewa Unit 14 na mimi nikinunua umeme wa bei hiyo hiyo napewa Unit 4,

2. Nilikuwa naomba nisaidiwe hili tarehe 11/4/2021 nilinunua umeme wa sh.1500 kwa njia ya mtandao wa halotel mpaka leo sijapewa token.
Hakuna gharama ya kubadilishiwa kundi la matumizi bali mteja kama anadhani anakidhi vigezo anashauriwa kufika ofisi za eneo lake

Pili tusaidia namba ya mita, tarehe uliyofanya manunuzi na namba ya simu uliyotumia
 
Hakuna gharama ya kubadilishiwa kundi la matumizi bali mteja kama anadhani anakidhi vigezo anashauriwa kufika ofisi za eneo lake

Pili tusaidia namba ya mita, tarehe uliyofanya manunuzi na namba ya simu uliyotumia
Tarehe 11/04/2021.
Mita 24216671081.
0629510186
 
Hakuna manunuzi yaliyofanyika 11/04/2021 badala yake yake tunaona manunuzi yabl tarehe 30 mwezi huo huo umeme wa tsh 1500 na 2000. Tafadhali jiridhe na tarehe
Ok, nitakuwa nimechangaya tarehe tu ila huo wa 1500 sikupewa sms ya token, pleas naombeni nisaidiwe.
 
6352-5166-4123-5044-1994 wa 1500

Na

2462-1457-9030-2412-0833

Wa 2000

Ndio manunuzi yaliyofanyika
Ndio, samahani nilikuwa nimesahau tarehe ila ndivyo hivyo umeme wa sh 2000. Nilipewa token
1500 sikupewa token.
 
Makampuni/mashirika mengine yangekuwa active kama TANESCO hapa mambo yangekuwa mswano
jamaa wanajibu kama robot ...

Big up sana

Ova
 
Makampuni/mashirika mengine yangekuwa active kama TANESCO hapa mambo yangekuwa mswano
jamaa wanajibu kama robot ...

Big up sana

Ova
Ni kweli wanajitahidi kujibu na kutatua changamoto ila inaonekana kwenye matawi yao kuna shida kubwa sana, hasa rushwa ndio uhudumiwe nashukuru nimewasilisha hapa leo na nimepigiwa simu leo leo kutoka kwenye tawi husika ila bado changamoto iko pale pale.
 
Ni kweli wanajitahidi kujibu na kutatua changamoto ila inaonekana kwenye matawi yao kuna shida kubwa sana, hasa rushwa ndio uhudumiwe nashukuru nimewasilisha hapa leo na nimepigiwa simu leo leo kutoka kwenye tawi husika ila bado changamoto iko pale pale.
Je bado changamoto gani unapata mpendwa mteja wetu?
 
Pole sana hawa jamaa ni shida wamekaa kiwizi mbaya mno unatanguliza malipo ndo
Savea aje hiyo pesa kama ni biashara mzunguko wake kwa siku umepata hasara
Pole sana jamaa yangu nashindwa kuwaelewa kwa nn Tanesco ni wasumbufu
Hivi ?pesa wanazo nyingi tu wanakwama
Wapi ?
Hawa wanazingua sana nasikitika sana hebu fikiria unapeleka maombi surveyor anakuja baada ya miezi miwili kupata control number tena baada ya miezi miwili kuja kufungiwa baada ya miezi minne hivi kweli tutafika?
 
Nimeambiwa ngoja wafuatilie nimeshangaa tena tawi husika wanashangaa surveyor hajaja eti ndio wanaanza kufuatilia
Tafadhali tutumie taarifa zako tena eneo, wilaya na form umerudisha lini na namba ya simu
 
Je bado changamoto gani unapata mpendwa mteja wetu?
Kwani mnashindwa nini kuongeza ufanisi wa kuwafungia umeme kwa haraka wahitaji kuna watu wanalalamika huku wamelipia toka mwezi wa 4 mpaka je mamlaka husika mnawachukulia gani wasimamizi wa matawi yenu wanaokwamisha au kuchelewesha kuwanganishia huduma ya umeme wahitaji?
 
Kwani mnashindwa nini kuongeza ufanisi wa kuwafungia umeme kwa haraka wahitaji kuna watu wanalalamika huku wamelipia toka mwezi wa 4 mpaka je mamlaka husika mnawachukulia gani wasimamizi wa matawi yenu wanaokwamisha au kuchelewesha kuwanganishia huduma ya umeme wahitaji?
Tafadhali tupatie taarifa za aliyelipia kipindi hicho, wilaya na namba ya simu kwa hatua zaidi
 
Back
Top Bottom