TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Jana asubuhi saa 1 mmekata umeme mkarudisha saa 1:30 usiku baada ya dakika 20 mkakata tena mkarudisha saa 5:15 usiku leo asubuhi mmekata tena mnataka tungoe hizi nguzo ama, kama hamna nia ya watu wa huku kuwa na umeme si mtuambie tujue cha kufanya acheni upumbavu
 
Jana asubuhi saa 1 mmekata umeme mkarudisha saa 1:30 usiku baada ya dakika 20 mkakata tena mkarudisha saa 5:15 usiku leo asubuhi mmekata tena mnataka tungoe hizi nguzo ama, kama hamna nia ya watu wa huku kuwa na umeme si mtuambie tujue cha kufanya acheni upumbavu
Tanesco
 
Jamani tanesco kwani mna shida gani na eneo la mlimani city kwenda chuo kikuku sisi Kila siku hatuna umeme KUANZIA asubuhi mpaka saa 6 usiku kwani hamjui kwamba hili ni eneo la watu wanajitafutia liziki zao tunaomba myupatie utaratibu mzuri wa kukata umeme kwani msikate usku tukiwa na umeme leo kesho hatuna kwanini hebu kateni uememe wenu usiku au KUANZIA jioni Ili huu mda wa mchana tufanye kazi zetu binafai
 
Mgao wa umeme mwisho ni lini?huku kila siku tunashinda au kulala bila umeme,unakatika asubuhi unarudi saa 1 jioni usiku unakatika tena asubuhi mnaamka hakuna umeme.
 
Hivi mnajisikiaje kukata umeme siku ya Jumapili ambapo wananchi anakuwa wamepumzika majumbani mwao?

Mnajua mnafanya wananchi kuichukia Serikali na Viongozi wake?
 
TANESCO Nguzo ya Umeme inayopeleka Umeme kwenye Nyumba za Askari pale Msimbazi, upande wa Mtaa wa Congo ni nguzo ya Chuma. Imeoza kwa kuliwa kutu, pale ilipo imeshikiliwa na layer ndogo sana. Tufanye jambo kuepusha hatari
 
Hivi hizi mvua zinazonyesha hazijafika mtera kweli? Inakuwaje tuna mgao mkali katikati ya mafuriko?
 
Uzalishaji wa umeme bongo ni mdogo. Tatizo sio mvua wala waziri bali uchakataji wenyewe no more no less.
 
Tuna kiongozi mwenye akili finyu sana, angeweza hata kukopa kwa dharura tupate mtambo kubwa utuvushe kwenye hii hali mbaya.
 
Back
Top Bottom