Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Tatizo la Umeme Wilaya ya Mvomero
Katika siku hizi za karibuni kumekuwa na tatizo kubwa sana la kukatika kwa umeme Wilaya ya Mvomero.Sijui sehemu zingine,ni kero,ni kero, ni kero.Ni kama kuna mgao hivi, na kuna mtoto mdogo somewhere anayechezea switch.
Tukiuliza mamlaka husika ya Wilaya tunaambiwa sababu ni kwamba line ya Wilaya ya Mvomero ni ndefu sana na inapita kwenye mapori,kwa hiyo kufuatilia faults ni vigumu sana.Really?Sasa tutaendelea hivi mpaka lini?Frankly sababu hii does not hold water,na inaelekea kuna uzembe wa kiutendaji.
Tunachojiuliza ni kwambaa, hapo nyuma matatizo kama haya yalipotokea tuliambiwa ni uchakavu wa miundobinu,swala la urefu wa laini halikuwepo.Sasa line imerefuka ghafla?So tuamini this time around shida sio miundombinu shida ni urefu wa laini tu?
Lakini kama tatizo kweli ni urefu wa lainii,why now,tena usiku, mchana ni kama tatizo halipo hivi.Laini imerefuka ghafla?Anyway kama tatizo kweli ni urefu wa laini,igawanyeni sehemu mbili basi, ili iwe na Mameneja wawili,mmoja akae Mgeta na mmoja akae Turiani,ili tatizo la urefu wa laini liishe,kusiwe na visingizio vya kiuzembe.
Hata hivyo nimalizie kwa kusema kwa ukubwa wa Wilaya ya Mvomero,it is advisable to have two Nanagers.By the way you should have thought about this a long time ago.
Katika siku hizi za karibuni kumekuwa na tatizo kubwa sana la kukatika kwa umeme Wilaya ya Mvomero.Sijui sehemu zingine,ni kero,ni kero, ni kero.Ni kama kuna mgao hivi, na kuna mtoto mdogo somewhere anayechezea switch.
Tukiuliza mamlaka husika ya Wilaya tunaambiwa sababu ni kwamba line ya Wilaya ya Mvomero ni ndefu sana na inapita kwenye mapori,kwa hiyo kufuatilia faults ni vigumu sana.Really?Sasa tutaendelea hivi mpaka lini?Frankly sababu hii does not hold water,na inaelekea kuna uzembe wa kiutendaji.
Tunachojiuliza ni kwambaa, hapo nyuma matatizo kama haya yalipotokea tuliambiwa ni uchakavu wa miundobinu,swala la urefu wa laini halikuwepo.Sasa line imerefuka ghafla?So tuamini this time around shida sio miundombinu shida ni urefu wa laini tu?
Lakini kama tatizo kweli ni urefu wa lainii,why now,tena usiku, mchana ni kama tatizo halipo hivi.Laini imerefuka ghafla?Anyway kama tatizo kweli ni urefu wa laini,igawanyeni sehemu mbili basi, ili iwe na Mameneja wawili,mmoja akae Mgeta na mmoja akae Turiani,ili tatizo la urefu wa laini liishe,kusiwe na visingizio vya kiuzembe.
Hata hivyo nimalizie kwa kusema kwa ukubwa wa Wilaya ya Mvomero,it is advisable to have two Nanagers.By the way you should have thought about this a long time ago.