lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Kuna tatizo nyumbani kwangu MBAGALA NZASA KWA MWARABU MTAA WA ATALANTA H/NO 10 .
MITA NO 24210335501 imegoma kununua umeme leo ni siku ya Pili.
Walipita mafundi wa Tanesco kiasi miezi miwili imepita na kuahidi kuibadilisha lkn hawakubadilisha NAOMBA msaada.
MITA NO 24210335501 imegoma kununua umeme leo ni siku ya Pili.
Walipita mafundi wa Tanesco kiasi miezi miwili imepita na kuahidi kuibadilisha lkn hawakubadilisha NAOMBA msaada.