TANESCO wapata hitilafu katika mfumo wa kununua umeme wa LUKU
Hivi hakuwezi kuwa na namna ya kuuza umeme kwa vocha kama vile makampuni ya simu za mkononi yanavyofanya?.
Labda kurahisisha ununuzi wa umeme. Lakini kama shida ya mtandao hata vocha inagoma kuingia.
 
Mimi nina wasiwasi na Mbunge wa Chato ambaye ndiye Waziri wa Nishati,najua hawa watu wana kinyongo na Mama, inawezekana ikawa hujuma hii kumchonganisha Mama na wananchi kwani nimeshasoma mitandaoni Sukuma Gang wakisema angekuwapo mwendazake shida hii isingetokea
 
Ina maana sasa hivi vituo wanapouza luku hawatumi kupitia malipo ya serikali?

Ova
 
Majuzi liripotiwa hapa JF mfumo wa TRA kuwa na dosari baada ya Uwepo wa moto HQ.
Jana na Leo TANESCO mfumo uko taabani.
Mifumo mingine muhimu pia imekuwa down wakati EGA wapo, Waziri Ndungulile, Katibu Mkuu wa Sayansi na Teknolojia yupo lkn hawana majibu yoyote kuhusu kadhia hii ya Mifumo ya TEHAMA
Nchi Hii Shida
 
Nchi hauwezi kuishi hivi. Lazima tujifunze....

Haya hii tu hivi ingekuwa lockdown je????

Lazima tufikirie nje ya mwanvuli. Nchi yetu imesimama mahala.....tunaposhindwa kufanya Uvumbuz tutaish kijimasana.


Ona wakati unahangaika kujenga barabara za juu, hivi nani amekwambia anataka apite juu..nchi hii ni Pana sana..

Fanya horizontal expansion,tandaza barabara chini..achana na mareli ya magharama...tumia traditional and geographical advantage yako uishi humo.


Leo hatuna umeme nchi ipo gizan wataalam au watanzania Wana creativity ipi kulingana na mazingira haya..

Nisawa kama tunaweza kununua kwenye vyanzo hivyo mawilayani na mikoani lakini watanzania tuwavivi sana. Nchi hii ina amani tulipaswa kutumia amani hii kufanya Kazi kwa shift..hivi kwanini tunakuwa hivi. 60 mil population tunalala wote usiku...dah
 
Nchi hauwezi kuishi hivi

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Hivi Kalemani bado yuko madarakani au ameshapeleka barua ya kujiuzulu?
 
Nchi hauwezi kuishi hivi. Lazima tujifunze....

Haya hii tu hivi ingekuwa lockdown je????

Lazima tufikirie nje ya mwanvuli
Watu wananunua sasa hv kwenye ofisi za tanesco za wilaya au mkoa,, na pia kwenye baadhi ya mawakala wakubwa
 
Back
Top Bottom