Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha yako haihusiani kabisa na mjadala huu. Muache mama afanye Kazi yake.
Chadema watabishaHii picha yako haihusiani kabisa na mjadala huu. Muache mama afanye Kazi yake.
Mkipata kiongoz anakuacha ufanye Kazi yako hamtaki..mnataka madikteta wawafuatefuate. Hembu acheni hayo mambo
Walivyo washenzi watawaibia mpaka mchanganyikiwe, ati wafanye postpaidKufuatia kuwepo tatizo la mfumo wa kununua luku, suluhu kwa siku hizi zenye matatizo ni ku achia umeme utumike na watu watakutana na bill zao mfumo ukitengema
Walivyo washenzi watawaibia mpaka mchanganyikiwe, ati wafanye postpaidKufuatia kuwepo tatizo la mfumo wa kununua luku, suluhu kwa siku hizi zenye matatizo ni ku achia umeme utumike na watu watakutana na bill zao mfumo ukitengema
Ashamtafta mnyonge wake kampa siku 10 manager tehamaHivi Kalemani bado yuko madarakani au ameshapeleka barua ya kujiuzulu?
Hao mawakala wako wangapi? Umeona foleni lake?Umeme nenda kwa mawakala wa tanesco unanunua vizuri tuu
Hahahahaaa!!uliwahi kuacha kumsifia lini humu? kutwa kuchwa ni kupamba tu humu, shukuru mungu mama janet hakujui!