Ndo wamerudi apa wamesema hamna kitu. Na muda si mrefu unaisha umeme. Kiza kinatuhusu. Na uko walikopita wanakwambia nyumba kibao hazina umeme.Hata huko hakuna kitu.. Mfumo wa LUKU una hitilafu..
Uhusiano upo kwasabab unalipia Kodi, zile percent zinawafikia. So systems must communicateHivi kuna uhusiano wowote na ile ya tii araa eei, mkuu
Lkn wengi nimeona wanaletewa token Ila kwenye dude la Luku wakiweka inagoma. Asa sijui vipi apo. Mfumo wao utakuwa una matatizoKwa wakala nako holla, we kazana tu kwenye simu kwenye mida ya saa nne ivi watakutumia, tumia halotel, kama unayo
Yaaah, tatzo ni pale unaajiri watu wa programming ambao hawapo nondo kwa kugeana pande au mtu alifaulu interview kwa bahati yake na kushindwa kufanya kazi ipasavyo hasa katka trouble shooting the problem, af kingine wabongo wengi hatuaminiani hasa katka Kaz hz za programming, bosi yupo tayar kumpa kazi mtu au kampuni nyingine kutengeza program fulan au mfumo fulan, na akamnyima Kaz mtu wa ndan ya kampuni mwenye uwezo mkubwa ili tu ionekane kampuni x ilipewa tenda na miamala itoke nje ya ofisi pesa zipigwe ndefu, pia mabosi wengi huwa wanataka share flan privately wanapotoa tenda kwa watu.Naelewa unachokizungumzia pengine kuna ukweli ndani yake ila kwa shirika kubwa hivyo ni lazma wawe na mmbadala na usalama wa system yao kingine system lazma ziwe updated continuously kwa kuwa programmers wanakuwa na ile prototype hivyo swala La virus so kesi kubwa kama wanafanya kazi na watu kwenye ufanisi wakutosha ,swala La kwamba system imezidiwa ni wao kutokuwa na mikakati ya muda mrefu maana kila siku wateja wanaongezeka ni swala la installation ya serves zenye uwezo wa kuwahudumia kwa pamoja
Wale wenye mita zao azina kile kimachine cha kuwekea Luku, wanao wekea moja kwa moja kwenye mita, unakubariLkn wengi nimeona wanaletewa token Ila kwenye dude la Luku wakiweka inagoma. Asa sijui vipi apo. Mfumo wao utakuwa una matatizo
Kwan we uko, mkoa gani?Lkn wengi nimeona wanaletewa token Ila kwenye dude la Luku wakiweka inagoma. Asa sijui vipi apo. Mfumo wao utakuwa una matatizo
Jana yalinikutaApa ndo Mie yamenikuta hayo nanunua umeme holaaa
Acha uzushi mkuuNimenunua saa 11 jioni kupitia Tigo Pesa.
Kuna taarifa yoyote imetolewa? Shida ya hizi nchi zetu uwajibikaji sifuri. Vinginevyo watu wangepoteza kazi. Tangu asubuhi nahangaika kununua umeme bila mafanikio. Naelekea kulala giza!!
Very correct mkuu kwa issue za project nadhani vyuo wangepaswa kuangalia project za wanafunzi na kualika organizations/sponsors mbalimbali angalau kuwe na link kati ya elimu na mazingira ya kazi kuna project nyingine ziko more advanced zinapoachwa kwenye flash au cd' inakatisha tamaa sana kwa vijana wengi.Yaaah, tatzo ni pale unaajiri watu wa programming ambao hawapo nondo kwa kugeana pande au mtu alifaulu interview kwa bahati yake na kushindwa kufanya kazi ipasavyo hasa katka trouble shooting the problem, af kingine wabongo wengi hatuaminiani hasa katka Kaz hz za programming, bosi yupo tayar kumpa kazi mtu au kampuni nyingine kutengeza program fulan au mfumo fulan, na akamnyima Kaz mtu wa ndan ya kampuni mwenye uwezo mkubwa ili tu ionekane kampuni x ilipewa tenda na miamala itoke nje ya ofisi pesa zipigwe ndefu, pia mabosi wengi huwa wanataka share flan privately wanapotoa tenda kwa watu.
Sasa shida inakuja tatzo likitokea Kama hili, kila kitu linakuwa undercontrol ya mshkaji, labda niwachane tu. ICT ipo juu huku tunafanya project na sio research, kunaproject nyingi Sana znazomake sence zinaishia kwenye vyumba vya presentation...Ila vingekuwa implemented tungekuwa mbali Sana.
Kwanini uteseke kumkumbuka mwendazake wakati kuna option ya kumfuata huko aliko?Nimehangaika leo siku nzima kununua Umeme, hadi naandika hapa saa nne na dk 22 usiku hakuna huduma ya LUKU, tunajua mnachokifanya, mpo mnavuruga system ili mtuibie kirahisi! Hakika tutamkumbuka JPM maana kesho mtu alikuwa anachomolewa ofisini kwenye kitu chake cha kuzunguka!