Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,826
- 5,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasubutu waone kama hawajarudi kichura chura hadi barabarani!😅 walivokuwa wajinga wataanza msako kumtafuta mtu x aliyejiunganishia umeme ki holela
Bado inagoma mkuuNunua kupitia benki
Mbona nako imeshindikana kwanzia Jana usiku?Nunua kupitia benki
Sawa mkuu naomba picha na location ya kwako nije nijipatie ujuziNiliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
Weka namba ya simu, tu share wote kwenye ukombozi huoNiliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
Kwani direct inaujuzi ganiWeka namba ya simu, tu share wote kwenye ukombozi huo
Hata wao huenda umekatika wanalalamikaHivi nikienda ofisi ya tanesco iliyokaribu yangu hawawezi kweli kuniwekea umeme/kunipa token?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata wao huenda umekatika wanalalamika
Ndiyo mkuuMkuu una kumbukumbu!
nunua kwa nmb wakala nilinunua imekubalHivi nikienda ofisi ya tanesco iliyokaribu yangu hawawezi kweli kuniwekea umeme/kunipa token?
Ngoja niende nikajaribununua kwa nmb wakala nilinunua imekubal