TANESCO wapata hitilafu katika mfumo wa kununua umeme wa LUKU
Niliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!

Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!

Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!

Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!

HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,

LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Wacha nije chemba mkuu nipate mautundu kuepuka hasara pia.
 
Niliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!

Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!

Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!

Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!

HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,

LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Tatizo kuwa na shirika moja linafanya shughuli zote yaani kuzalisha umeme ,kusambaza kwa kuweka line mpya na pia mwisho Kuuza umeme hapo ufanisi lazima uwe mdogo.kama ni mimi ningevunja hili shirika tupate Mawili au matatu ili kuongeza ufanisi uwajibikaji na ubunifu zaidi na pia ushindani.
 
Maamuzi ya kishujaa ili kuokoa uchumi wa mtu mmoja mmoja.
Ukitafuta wabishi wewe ndo mbishi sasa.
 
Hayandio mambo yalikuwaga Shirika la Posta na Simu uwanja ukawekwa Huru yakaja Makampuni ya Simu kuwekeza mambo yakawa Valuvalu

Sasa utaratibu huo uletwe kwenye Umeme yaje Makampuni ili ushindani uwepo nauzembe wa Tanesco ndio utaishia hapo
 
Dah! Afrika ni Afrika tu. Walete huduma ya kupunguziana umeme
Mkuu wewe umetoka lini mwezini maana mda si mrefu USA walikuwa na shida ya mafuta baada ya bomba la kusafirisha mafuta la colonial kupata changamoto; halafu wewe unakuja na akili za ki CHADEMA CHADEMA
The pipeline, which stretches from Texas to New Jersey, had been shut down since Friday after a ransomware attack. Over the last few days, Colonial has opened segments of the pipeline manually to relieve some supply pressures in a few states, including Maryland and New Jersey.
 
Majuzi liripotiwa hapa JF mfumo wa TRA kuwa na dosari baada ya Uwepo wa moto HQ.
Jana na Leo TANESCO mfumo uko taabani.
Mifumo mingine muhimu pia imekuwa down wakati EGA wapo, Waziri Ndungulile, Katibu Mkuu wa Sayansi na Teknolojia yupo lkn hawana majibu yoyote kuhusu kadhia hii ya Mifumo ya TEHAMA
Hata mfumo wa kiutumishi katika halmashauri hasa module inahusika na mikopo ya fedha kwa watumishi haupo hewani hii ni wiki ya nne haupo hewani, yaani mambo hovyo tupu
 
Yaani sijui tunakwenda wapi!! zaidi ya siku ya 3 kila tukijaribu kununua umeme kwa mitandao yote hakuna kitu!! Na hakuna hata anayejali wala kufuatilia tatizo, watu wametulia tuliii!? sa sijui tunakwenda wapi!!
 
Niliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!

Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!

Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!

Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!

HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,

LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Inategemea na aina ya Luku,vinginevyo utakuwa umekopeshwa tuu hzo units,siku ukiweka hela deni lao linakatwa
 
Back
Top Bottom