Ulinunua lini jamani haya ni matesonunua kwa nmb wakala nilinunua imekubal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulinunua lini jamani haya ni matesonunua kwa nmb wakala nilinunua imekubal
Wacha nije chemba mkuu nipate mautundu kuepuka hasara pia.Niliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,
LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Mimi nimelipash 320000 tarehe 25/3/2021 ili kuwekewa umeme kwenye kijumba changu lakini sijapata huduma hadi sasa, je hiyo nayo ni hitilafu ya mtandao?
jana wakalaUlinunua lini jamani haya ni mateso
Tatizo kuwa na shirika moja linafanya shughuli zote yaani kuzalisha umeme ,kusambaza kwa kuweka line mpya na pia mwisho Kuuza umeme hapo ufanisi lazima uwe mdogo.kama ni mimi ningevunja hili shirika tupate Mawili au matatu ili kuongeza ufanisi uwajibikaji na ubunifu zaidi na pia ushindani.Niliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,
LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Lini?nunua kwa nmb wakala nilinunua imekubal
Hilo kundi ni janga, ndilo limeua watu wengi sana wasio na hatia, wameteka sana watu, wamewabambikiza watu kesi na kuwarundika ndani.buji acha hizo weka heshima ya hili kundi mbele
janaLini?
Ooh ngoja nami nijaribu kwa kutumia mawakala.jana
Mkuu wewe umetoka lini mwezini maana mda si mrefu USA walikuwa na shida ya mafuta baada ya bomba la kusafirisha mafuta la colonial kupata changamoto; halafu wewe unakuja na akili za ki CHADEMA CHADEMADah! Afrika ni Afrika tu. Walete huduma ya kupunguziana umeme
Hata mfumo wa kiutumishi katika halmashauri hasa module inahusika na mikopo ya fedha kwa watumishi haupo hewani hii ni wiki ya nne haupo hewani, yaani mambo hovyo tupuMajuzi liripotiwa hapa JF mfumo wa TRA kuwa na dosari baada ya Uwepo wa moto HQ.
Jana na Leo TANESCO mfumo uko taabani.
Mifumo mingine muhimu pia imekuwa down wakati EGA wapo, Waziri Ndungulile, Katibu Mkuu wa Sayansi na Teknolojia yupo lkn hawana majibu yoyote kuhusu kadhia hii ya Mifumo ya TEHAMA
Anakudanganya hhupatiOoh ngoja nami nijaribu kwa kutumia mawakala.
Mfumo ni system, siyo mtambo!Mwisho tutaambiwa mifumo hiyo haifai, imeleta mfumo mpya. Hapo ndio upigaji wa mil 7 Kwa dk utakaporudi.
Inategemea na aina ya Luku,vinginevyo utakuwa umekopeshwa tuu hzo units,siku ukiweka hela deni lao linakatwaNiliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,
LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!