Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAYARI MENEJA WA IT TANESCO KALIWA KICHWAChukua extension cable.
Kata kichwa chake kile. Utakuta nyaya zimo pale kwenye kichwa.
Chubua plastiki ubaki na zile kopa.
Nenda pale waya wa tanesco unapoingilia.
Kuna ile sehemu haijafunikwa na plastiki la waya.
Unganisha nyaya zako hapo.
Kisha peleka extension yako ndani annza kutumia.
Tukutane ahera.
Hapo itakuwa dawa imekuingia vizuri-usinilinganishe na wewe uliyezaliwa kwa njia ya operationMpuuzi sana wewe...kuwa UVCCM kusikufanye usiwe na akili ..pumbavu sana wewe
Cc TANESCONiliagiza samaki kutoka mwanza karibu ndoo nzima siwezi kukubali waharibike kwa uzembe wao!
Haiwezekan kila siku ile kwetu tu, siku moja moja kama hivi wacha ile kwao!
Nimeamua kuunga direct hadi pale mtandao wa LUKU utakaporudi kama mbwai na iwe mbwai! TUTASOLVE!
Maoni yangu kitengo cha IT tanesco chote kingefukuzwa kazi Mara moja kama ambavyo Mameneja wengine wa miundombinu wanavyofukuzwa kazi!
Haiwezekani wasiwe na plan B kwa mfano!
Unaposhindwa kununua umeme kwa mtandao wangekuwa na Universal Tokeni ambazo zingeuzwa kama vocha!
HALAFU NAVYOJUA TANESCO ULE MFUMO WA ZAMANI WA KUUZA DIRISHANI UPO ACTIVE,
LAKINI Wameugeuza wa kuuziana Luku wao kwa wao tu, Wakiamua kuutumia kuuza LUKU hata Leo ni kitendo cha kuclick tu!
Umeme wa akiba ukiisha kabla ya system kutengamaa pia tumlaumu nani mkuu?Token namba za umeme wa Tanesco ni kitu ambacho mtu yakupasa kuwa na Token za ziada kwa ajili ya dharula
Atleast utaoneka uko pro active na utakua umepunguza baadhi matatizoUmeme wa akiba ukiisha kabla ya system kutengamaa pia tumlaumu nani mkuu?
Ili mumbaini mkamchome apewe uhujumu uchumiWeka namba ya simu, tu share wote kwenye ukombozi huo
Bank ipi wakati control number haifanyi kazi?Nunua kupitia benki
Hili sio jibu la swali uliloulizwaAtleast utaoneka uko pro active na utakua umepunguza baadhi matatizo
Mbaya zaidi na hela inaondoka sijui wataturudishia kwa mtindo gani maana costomer service ya mitandao hususani Airtel hawapokei simu kabisaHili ni tatizo tangu Jana ukinunua umeme laini ya voda,Airtel na tigo zinagoma kama nitatizo liko Tanesco wanapaswa watujulishe