Hahahaaa Kazi iendeleeMtanikumbuka kwa mema na mazuri....ujinga huu kamwe usingetokea kama mwendazake angekuwa hai, siku karibu tatu leo ndio tunamuona akifoka kwenye runinga,je siku zote alikuwa wapi? mara mfumo kwenye TRA. mara Bandari. shughuli ipo. watu wameanza kudemka.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app