samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Rais wetu wamemudharau Sana,yaani inafikia hatua wachawi wanatoa masharti kwa Serikali?
Tangu nizaliwe sijawahi sikia kokote duniani.
yaani hao unawaacha unaondoka, usiku unaleta vijana kama 40 kutoka kikosi fulani, wanakula fimbo halafu asubuhi kimya, mnawaacha kama week mnawafuata tena wamelala wanakula fimbo.....halafu mkija tena mnawaambia na sisi mizimi yetu imekasirika kwanini mizimu yao haitaki maendeleo....uone kama wataleta hizo story zao....