Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Matumizi yamejaa mbona mkuuUnavipeleka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi yamejaa mbona mkuuUnavipeleka wapi?
Duh kwa hio MoU ya kumpiga Myahudi umeifurahia?kama hujuwi kusoma usitusumbuwe, nani alikwambia ukaanguwe mabuyu wakati wenzako wanakimbilia darasani?
maana wewe unaonesha kwenu hata maembe hakuna.
Kondoo utalijuwa tu.
Wapi hapo kibiti utaitumia ak47?Matumizi yamejaa mbona mkuu
Kondoo hamjifichi. Mnajulikana.Duh kwa hio MoU ya kumpiga Myahudi umeifurahia?
Hiyo mbona tayari, kama uhai upo tunataka awepo mpaka 2035.Mama apewe mitano tena!
Kwa hio jeshi linaimarishwa? Sio Israel tena sasa tumehamia Iran?Kondoo hamjifichi. Mnajulikana.
kondoo wa rangi rangi ni vigumu sana kujificha.Kwa hio jeshi linaimarishwa? Sio Israel tena sasa tumehamia Iran?
Ina rangi rangi na ukondoo. Umewacha?Narudia Iran ina nini cha kushare na Tanzania zaidi ya ugaidi?
Au sio.!Hiyo mbona tayari, kama uhai upo tunataka awepo mpaka 2035.
Kwa hio ndio tumehamia upande huo wa Ayatolahkondoo wa rangi rangi ni vigumu sana kujificha.
Kwa hio ndio tumehamia upande huo wa Ayatolah
We ni Suni?Umeacha ukondoo wa rangi rangi?
Beberu si anawatisha mara mpididiwe mara leo siwapi mara hivi leo nawakagua kama mnapiga kura sasa wale wajomba walivyo waroho wa madaraka wameanza kumkataa beberuKwa hio ndio tumehamia upande huo wa Ayatolah
Chaczbziebzko cagha wese zez basi iran anakuwa mashukuni, ndiyo chanzo, ukiabtaf vanidyata baskzbi chanvarbamba maahdnsgfyuta.Kutoka Tehran, IRAN taarifa zimesambaa kutokana na Taarifa iliyowekwa kwenye habari picha kwa mujibu wa Chombo cha Habari cha Iran.
View attachment 3131965
Umesema beberu kasema upigwe vidole na pdidy?Beberu si anawatisha mara mpididiwe mara leo siwapi mara hivi leo nawakagua kama mnapiga kura sasa wale wajomba walivyo waroho wa madaraka wameanza kumkataa beberu
Uwe unaacha kukurupuka kijana una uhakika hatuijui mou inahusiana nanini au Unadhani hio mou ilitiliwa saini chumbaniMoU hiyo inahusu Nini?
Kwa nini mnaipongeza Serikali bila ya kujua kwanza Nini hasa Serikali hizi Mbili zimekubaliana???
Pole kijanaHuu si wakati wa kujifunganashika na iran iliyo na mtifuano na israel hata kama hatufungamani na upande wowote. Tungeacha kujionesha wazi kuwa tuna mashirikiano na iran kwa dhana kwamba adui wa rafiki yako ni adui yako pia huku tukitaka pia tuwe na ushirikiano na israel hata kama kuna maslahi ya nchi kutoka kwa mataifa hayo hasimu