Tanzania imesaini MoU na Iran leo

Tanzania imesaini MoU na Iran leo

Huu si wakati wa kujifunganashika na iran iliyo na mtifuano na israel hata kama hatufungamani na upande wowote. Tungeacha kujionesha wazi kuwa tuna mashirikiano na iran kwa dhana kwamba adui wa rafiki yako ni adui yako pia huku tukitaka pia tuwe na ushirikiano na israel hata kama kuna maslahi ya nchi kutoka kwa mataifa hayo hasimu
Nitajie nchi tano ambazo israel anazisaidia kiuchumi,iwe kimikopo au kibiashara,,sasa utakuaje na ukaribu na israel ambayo wenyewe wanaishi kwa kutegemea misaada toka usa na nchi za ulaya,
 
We notes that Tanzania inaenda kutumika kama proxy ya Iran, ili ku kwepa restrictions,

Nchi imewekewa vikwazo, ukijisogeza sana kwa ukaribu na nchi hiyo, ni kujitafutia shida, maana utachunguzwa na kufuatiliwa sana kwa ukaribu.

Kwa tendo hili, tutafuatiliwa sana ili kujua uhusiano wetu unagusa nini. Ukigusa maeneo ambayo Iran imewekewa vikwazo, sheria za kimataifa zinatoa ruhusa kutuunganisha kwenye vikwazo au kutuadhibu kwa njia yoyote ile kwa mwanya wa kusimamia utekekezaji wa vikwazo.

Kuna wakati iligundulika meli ya Iran kutumia bendera ya Tanzania ili kukwepa vikwazo.

Kuna wakati ukiwa na umaskini wa akili na mali, unaweza kuanza kufanya vitendo unavyoamini vitakusaidia kumbe ndiyo unajimaliza zaidi. Nchi hii inategemea ufadhili na mikopo ya mabeberu, tukiwekwa pembeni, hata tusiwekewe vikwazo, tunyimwe tu misaada na mikopo; Iran, China na Urusi, wanaweza kuziba pengo, wakati wananchi wao wenyewe, wengi wapo hoi bin taabani, na serikali zao zimeshindwa kuwasaidia?

30% ya Wairan wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa. Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa ya Serikali ya Iran yenyewe:

Recently, the Minister of Labor in Khamenei's government provided shocking statistics on the extent and severity of poverty in Iran. On September 8, 2024, Mehr News Agency quoted Ahmad Meydari, an expert in poverty, as saying: “30% of the population is below the poverty line.
 
Nchi imewekewa vikwazo, ukijisogeza sana kwa ukaribu na nchi hiyo, ni kujitafutia shida, maana utachunguzwa na kufuatiliwa sana kwa ukaribu.

Kwa tendo hili, tutafuatiliwa sana ili kujua uhusiano wetu unagusa nini. Ukigusa maeneo ambayo Iran imewekewa vikwazo, sheria za kimataifa zinatoa ruhusa kutuunganisha kwenye vikwazo au kutuadhibu kwa njia yoyote ile kwa mwanya wa kusimamia utekekezaji wa vikwazo.

Kuna wakati iligundulika meli ya Iran kutumia bendera ya Tanzania ili kukwepa vikwazo.

Kuna wakati ukiwa na umaskini wa akili na mali, unaweza kuanza kufanya vitendo unavyoamini vitakusaidia kumbe ndiyo unajimaliza zaidi. Nchi hii inategemea ufadhili na mikopo ya mabeberu, tukiwekwa pembeni, hata tusiwekewe vikwazo, tunyimwe tu misaada na mikopo; Iran, China na Urusi, wanaweza kuziba pengo, wakati wananchi wao wenyewe, wengi wapo hoi bin taabani, na serikali zao zimeshindwa kuwasaidia?

30% ya Wairan wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa. Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa ya Serikali ya Iran yenyewe:

Recently, the Minister of Labor in Khamenei's government provided shocking statistics on the extent and severity of poverty in Iran. On September 8, 2024, Mehr News Agency quoted Ahmad Meydari, an expert in poverty, as saying: “30% of the population is below the poverty line.
Kwaiyo mlitaka tuwe na ushirikiano na masikini wenzetu israel?maana israel yenyewe inaishi kwa misaada
 
Nitajie nchi tano ambazo israel anazisaidia kiuchumi,iwe kimikopo au kibiashara,,sasa utakuaje na ukaribu na israel ambayo wenyewe wanaishi kwa kutegemea misaada toka usa na nchi za ulaya,
Kwa uelewa wako, kati ya Iran na Israel, ni ipi iliyo tajiri? Ufahamu kuwa nchi haiwezi kukusaidia wewe kama yenyewe ipo hoi. Iran ipo hoi ukilinganisha na Israel, halafu ndiyo iisaidie Tanzania? Israel ndiyo iliyotusaidia kutujengea chuo kikuu cha Dar es Salaam, JKT, muradi ya kilimo, n.k. Misaada na ukaribu na Israel vilitoweka tulipovunja uhusiano wa kibalozi.

Iran ni nchi maskini, ipo kwenye lower middle income.

Israel, pamoja na udogo wa nchi na uchache wa watu, ni moja ya nchi zilizoendelea:

Israel is considered a high-income country by the World Bank.
of 2024, the IMF estimated Israel has the 26th largest economy in the world by nominal GDP, and one of the biggest economies in the Middle East.
 
Kwa uelewa wako, kati ya Iran na Israel, ni ipi iliyo tajiri? Ufahamu kuwa nchi haiwezi kukusaidia wewe kama yenyewe ipo hoi. Iran ipo hoi ukilinganisha na Israel, halafu ndiyo iisaidie Tanzania? Israel ndiyo iliyotusaidia kutujengea chuo kikuu cha Dar es Salaam, JKT, muradi ya kilimo, n.k. Misaada na ukaribu na Israel vilitoweka tulipovunja uhusiano wa kibalozi.

Iran ni nchi maskini, ipo kwenye lower middle income.

Israel, pamoja na udogo wa nchi na uchache wa watu, ni moja ya nchi zilizoendelea:

Israel is considered a high-income country by the World Bank.
of 2024, the IMF estimated Israel has the 26th largest economy in the world by nominal GDP, and one of the biggest economies in the Middle East.
Israel kaisaidia nchi gani kimisaada? Yenyewe inaishi kwa fadhila za america,


Ebu nitajie nchi zinazokopeshwa na israel au kusaidiwa,na nchi ya ngapi kiuchumi mkubwa iyo israel
 
Nitajie nchi tano ambazo israel anazisaidia kiuchumi,iwe kimikopo au kibiashara,,sasa utakuaje na ukaribu na israel ambayo wenyewe wanaishi kwa kutegemea misaada toka usa na nchi za ulaya,
Huelewi kitu. Israel ina uchumi mkubwa kuliko mataifa mengi ya kiarabu na hata Ulaya. Misaada ya US kwa Israel siyo kwa sababu nchi ni maskini bali ni kutokana na mikataba ya kiulinzi baina ya hayo mataifa.

The Economist ranked Israel as the 4th most successful economy among developed countries for 2022. The IMF estimated Israel's GDP at US$564 billion and its GDP per capita at US$58,270 in 2023 (13th highest in the world), a figure comparable to other highly developed countries.
 
Israel kaisaidia nchi gani kimisaada? Yenyewe inaishi kwa fadhila za america,


Ebu nitajie nchi zinazokopeshwa na israel au kusaidiwa,na nchi ya ngapi kiuchumi mkubwa iyo israel

The Economist ranked Israel as the 4th most successful economy among developed countries for 2022. The IMF estimated Israel's GDP at US$564 billion and its GDP per capita at US$58,270 in 2023 (13th highest in the world), a figure comparable to other highly developed countries.

People also ask

Is Israel a rich or Poor Country?


Israel is considered a high-income country by the World Bank.
 
Kwa uelewa wako, kati ya Iran na Israel, ni ipi iliyo tajiri? Ufahamu kuwa nchi haiwezi kukusaidia wewe kama yenyewe ipo hoi. Iran ipo hoi ukilinganisha na Israel, halafu ndiyo iisaidie Tanzania? Israel ndiyo iliyotusaidia kutujengea chuo kikuu cha Dar es Salaam, JKT, muradi ya kilimo, n.k. Misaada na ukaribu na Israel vilitoweka tulipovunja uhusiano wa kibalozi.

Iran ni nchi maskini, ipo kwenye lower middle income.

Israel, pamoja na udogo wa nchi na uchache wa watu, ni moja ya nchi zilizoendelea:

Israel is considered a high-income country by the World Bank.
of 2024, the IMF estimated Israel has the 26th largest economy in the world by nominal GDP, and one of the biggest economies in the Middle East.
Tz na Iran hawajasaini mkataba wa kupeana misaada bali wamesaini mkataba wa ushirikiano kwenye mambo mbali mbali punguza upumbavu.
Tz inashirikiana na kenya , Uganda,Rwanda , Burundi kwenye mambo mbali mbali yakiwemo uchumi na biashara kwahiyo hizo nchi ni tajiri?
 
Kilichopo ni kutuchonganisha tu. Watu wawili wakipigana, ukafanya urafiki na mmojawapo, automatically unatangaza uadui na upande wa pili. Busara ni kuwatazama kwa mbali tu wakitwangana. Tusuburi tuone. Tusije kutolewa kafara.
Mimi nipo na Iran mpaka dakika ya mwisho. Kwanza ni Waislam wenzangu, pili, hawajavamia nchi ya mtu.
 
Back
Top Bottom