Tanzania imesaini MoU na Iran leo

kama hujuwi kusoma usitusumbuwe, nani alikwambia ukaanguwe mabuyu wakati wenzako wanakimbilia darasani?

maana wewe unaonesha kwenu hata maembe hakuna.

Kondoo utalijuwa tu.
Duh kwa hio MoU ya kumpiga Myahudi umeifurahia?
 
Beberu si anawatisha mara mpididiwe mara leo siwapi mara hivi leo nawakagua kama mnapiga kura sasa wale wajomba walivyo waroho wa madaraka wameanza kumkataa beberu
Umesema beberu kasema upigwe vidole na pdidy?
 
Huu si wakati wa kujifunganashika na iran iliyo na mtifuano na israel hata kama hatufungamani na upande wowote. Tungeacha kujionesha wazi kuwa tuna mashirikiano na iran kwa dhana kwamba adui wa rafiki yako ni adui yako pia huku tukitaka pia tuwe na ushirikiano na israel hata kama kuna maslahi ya nchi kutoka kwa mataifa hayo hasimu
 
Pole kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…