Kila mtu akitetea dini yake tu na kuacha kulitetea Taifa lake Tanzania tutaiuza nchi bila uzalendo. Kwa hiyo watanzania wasio waislam unawaonaje ? Nyerere aliyekuwa mkristo akawaunga mkono Palestine angekuwa na akili hizi ingekuwaje ?
Kila mtu akitetea dini yake tu na kuacha kulitetea Taifa lake Tanzania tutaiuza nchi bila uzalendo. Kwa hiyo watanzania wasio waislam unawaonaje ? Nyerere aliyekuwa mkristo akawaunga mkono Palestine angekuwa na akili hizi ingekuwaje ?