Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Andika ukiwa huru bila mapepo ya chuki mkuu...

Njoo kanisani kwetu tukuombee
 
kwanza huyo mhujumu uchumi viranga tanzania viko kibao watu wanavyo wanauza kwa nini akanunue kenya?

Pili ni kuthibiti magonjwa huwezi toa viranga nchi nyingine bila vyeti bya afya na kupeleka nchi nyingine

Nchi vi apoingia haiwajibiki kuvipima ni kupiga kibititi tu Inatakiw mhusika kabla kusafirisha awe na vyeti husika toka nchi husika
 
Inashngaza
Leo wanyonge munalilia ‘Double Standard'
 
kuna mshkaji wangu aliingiza mzigo wa ml400 kimagendo 🤣🤣🤣🤣
sikuizi yupo merereni kawa mwanaapolo ili apate angalau kula!

utakua ni ujinga kuwekeza pesa yote hiyo af unakwepa kodi na kuhatarisha usalama na sovereignty ya taifa la Tanzania lakini pia biashara yake!!
 
acha ushamba dogo!!
duniani kote huchoma wanyama kama kumetokea pandemic ya wanyama
 
Mbona wakikamata magari hawayachomi moto wanataifusha?
Tunacoma milion 40 huku tukiendelea kutafuta walipa kodi wapya!
 
Naona jamaa anarudi kwenye umaskini kama utani. Why asipigwe tu fine then aachiwe? Au viuzwe kwa nusu bei kwa wafugaji? Ila viliingiaje Dar na vimetoka Kenya?
Hapo wapige fine ikishindikana bora wataifishe na sio kuvichoma moto
 
Tuwe wakweli na wawazi je huyu aliyeingiza hao vifaranga nchini hajui kwamba kuna mambo ya kufuata kabla ya kuviingiza au anaipima serikali? Ningekuwa Mimi ningemuamuru arudishe alipo watoa halafu sheria inachukua mkondo wake
Hapo sawa umetoa suluhisho jema na sio kuvichoma moto
 
Roho mbaya ni dalili ya umaskini
 
Vipigwe moto tu hakuna jinsi anaidharau serikali akileta mafua ya ndege nchini atasababisha hasara ya kiasi gani asee watumie petrol nyingi
 
Utachomaje kitu chenye uhai? Haniingii akilini

Ndiyo maana nalo lilikufa

Vinatakiwa vikabidhiwe kwa madaktari wa mifugo vipewe madawa.

Mbona gari ya shamimu na mumewe hawakuchoma moto? Ndiyo maana lile lijamaa linatafasiriwa km ni dikiteta

Atakaeyechoma moto naye afe. Ndiyo utagundua nchi za Afrika hakuna wanachoweza hata viongozi wakiumwa wanakimbilia nje za nchi na wengi huishia kufa tu
Kama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.
 
Endeleeni kuvichoma,majibu watayapokea wafanyabiashara wa mahindi.
 
Ushauri wa buree.
1.WAVIPIME KUONA KAMA HAVINA MAGONJWA
2.MMILIKI ATOZWE KODI STAHIKI NA KA FAINI
3.VINADIWE NA SERIKALI ENDAPO MMILIKI HANA HIZO TOZO
3.VICHOMWE ENDAPO VITAKUTWA NA VIMELEA VYA MAGONJWA
 
Mbona wakikamata magari hawayachomi moto wanataifusha?
Tunacoma milion 40 huku tukiendelea kutafuta walipa kodi wapya!
Gari inasambaza magonjwa kama kuku?huwa yanaumwa kideri au mdondo kama kuku?
 
Uliwahi kuachiwa uja uzito na watu wa chadema nini?maana mimi sijataja chadema ila wewe tayari unakimbilia chadema. Kama mwanaume mmoja alikutenda wa chadema usichukie wote.😂
 
Vifaranga hawana hatia, aadhibiwe mhusika, vifaranga wapimwe kujiridhisha kama wanafaa kuwepo nchini au warejeshwe walikotoka, kuna amri ya Mungu isemayo "usiue"
Hii ndio Tanzania. Kumbuka swala la yule mbwa aliyeitwa Immigration
 
Mzimu wa Magufuli unatuandama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…