Kweli tulikuwa mbali sana! hata Internet cafe zilikuweko siku hizo! ni mwaka gani vile? hapa ni Moshi? naona Mlima Kilimanjaro
Hapo ni Arusha na ni mtaa wa Goliondoi.Mlima unaoonekana kwenye picha ni Mlima Meru na sio Mlima Kilimanjaro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tulikuwa mbali sana! hata Internet cafe zilikuweko siku hizo! ni mwaka gani vile? hapa ni Moshi? naona Mlima Kilimanjaro
Hapo ni Arusha na ni mtaa wa Goliondoi.Mlima unaoonekana kwenye picha ni Mlima Meru na sio Mlima Kilimanjaro
Jamaa vipi za za zanzibar unazo?
Weruweru Primary School Kikundi Cha Ngoma Mwaka 1972
View attachment 74270
Hii picha ilikuwa ni ya wasichana wa Shule ya Sekondari Weruweru na si primary. Nasema hivyo kwa sababu nilikuwa na copy ya hiyo picha enzi hizo na wengi wao humo nawafahamu.