Na ndivyo itakavyokuwa au kama mtu ananidai hela yake na yuko Mbezi nachukua gari tu Temeke/Mbezi 500, kwenda kurudi 1000.Hapa naona fulsa kwa dereva bodaboda mwaminifu. Yaani kama unamtumia pesa elfu 50000/= makato elfu 7500/= si bora umpe bodaboda elfu 2000/= aikimbize fasta
hali ya kawaida hii watanzania tutaizoeaSamia unachotufanyia sicho kabisa, kama umemwachia mtu remote control mpokonye picha anayotuonyesha ni mbaya
Nikweli, lakini Kwani Kama wangeweka kiasi kidogo wasingepata pesa?Tulipe kodi. Tujenge taifa. Kuna wigo mpana tu wa kutuma na kupokea pesa. Hata benki unaweza kutumia
Bado ni ndefu sana.ni 4750 tu
si uuaji huuBiashara ya pesa Kwa simu inaenda kuporomoka Kwa kasi.
Yani gharama za kutuma na kutoa 50000 ni 7500.
KwakweliHii biashara inaenda kufa
Itakua kwa emergency sana yaniSimply tutaacha habari hii ya mobile money
Mwigulu anaagizwa tu, mlaumu mwenye "kiti"Asee huu ni UPORAJI kabisa. Mwigulu hapaswi kuwepo kwenye ofisi yoyote ya Umma
Nikweli, lakini Kwani Kama wangeweka kiasi kidogo wasingepata pesa?
Maana hapa wanatukimbiza kutumia mitandao hi, wameshindwa hata kututega?
Afu vihela vyenyewe vya Makato ni vidogo, yaani usichangie maendeleo Lisa ujinga haipo hiyo.Sasa tutajengaje nchi yetu kama hatutaki kuumia kidogo kea maendeleo yetu. Tukubaliane tu mambo mwisho yatakuwa sawa. Mbaya tune kusikia escrow,meremeta nk . Hamna jinsi tuswe wazalendo tu.
Tunarudi miaka ya nyumaTunakoelekea mtu nikiwa ananidai/namdai, aidha nimpelekee hela yake mkononi au aniletee hela yangu mkononi.
Hakuna cha ziada.
We lazima utakua Kigogo serikalini sio bureAffordable Sana sijaona ukali mkubwa hapo yaani olmost negligible.
Ila watu walivyokuwa wanatutisha sasa utadhani maisha yanaenda kusimama
Gharama jumla sawa na 15% ya muamala. Wizi mchana kweupe.Biashara ya pesa Kwa simu inaenda kuporomoka Kwa kasi.
Yani gharama za kutuma na kutoa 50000 ni 7500.