KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Final consumer ndo unabeba mzigoNaona makampuni yameamua kujitenga na gharama hizo yameitaija kabisa tozo ya Serikali badala ya kuijumulisha tu bila kuinyambulisha hadharani.!
Sina ukigogo wowote ila nataka nikienda hosp nikute dawa nk,nikienda kijijini nifike vizuri.We lazima utakua Kigogo serikalini sio bure
Anzisha tukuoneTuanzishe kampeni hakuna kutumia mobile money
UtopoloAnzisha tukuone
Nyie misukule wake simnasema mama Atekeleze ya magufuli, ndio haya Sasa, maana haya makato yalishapangwa tangu enzi za magufuliMwendozake alisema ipo siku tutamkumbuka na sasa tumeanza kumkumbuka,
VAT na PAYE vinaenda kupunguzwa next year Ili ku stimulate uchumi.Kwani hizi kodi zinaathiri NYONGEZA za mishahara na KUPANDA madaraja tulikokuwa tunalilia miaka nenda rudi? Sidhani kama kuna issue, tufurahie nyongeza, achaneni na hayo matozo, yaliyoshindikana kwa miaka 5 mama kayafanya ndani ya siku 90 tu, kwa UZALENDO kabisa, VAT iongezwe mpaka 30%, PAYE iwe flat 30% ili wale tuliobanwa kwa miaka 5 iliyopita turejeshe mzigo wetu kwa expense ya wananchi, tujenge barabara mpaka milangoni, MAMA ANAUPIGA MWINGI.....Kazi iendelee
Ni afadhali kurudi nyuma ilhali unajua unafanya cha maana kuliko kuendelea kwenda mbele huku wembe mkali unakula.Tunarudi miaka ya nyuma
Mama anafungua nchiAaaah aisee! huu ubepari hata mabeberu hawakuwahi kutufanyia
Ndio unachojua tuu kulaumu huna suluhisho,watu aina ya nyie ni kupuuzwa tuu.. pengine kwa kodi hizi mambo ya hovyo na umbea mtapunguza sasa.Utopolo
Nyie misukule wake dikteta simnasema mama Atekeleze ya magufuli, ndio haya Sasa, maana haya makato yalishapangwa tangu enzi za magufuliMwigulu anaagizwa tu, mlaumu mwenye "kiti"
Mpiga dili acha kulalamaDuh! This is no longer a government for people.
Nyie misukule wa dikteta simnasema mama Atekeleze ya magufuli, ndio haya Sasa, maana haya makato yalishapangwa tangu enzi za magufuliMama anafungua nchi
Acha nongwa mpiga dili.. JPM alikuwa anaua uchumiAsee huu ni UPORAJI kabisa. Mwigulu hapaswi kuwepo kwenye ofisi yoyote ya Umma
Sio kosa lako Mkuu hesabu ni janga la kitaifa.ni 4750 tu
Nyie misukule wa dikteta simnasema mama Atekeleze ya magufuli, ndio haya Sasa, maana haya makato yalishapangwa tangu enzi za magufuliAngekuepo mzee baba angesema hatak kusikia ..na wafute hyo
Uncircumcised baboonNdio unachojua tuu kulaumu huna suluhisho,watu aina ya nyie ni kupuuzwa tuu.. pengine kwa kodi hizi mambo ya hovyo na umbea mtapunguza sasa.
Mbunge fulani alisema ukimtukana mtandaoni kama wewe hapa unalipa kodi kwa jambo ambalo halitakusaidia,na wewe nakuhimiza